Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Salaam
Imekuwa kero, shida, usumbufu na tabu kwa abiria wanaotegemea usafiri huu katika vituo vya kati vilivyopo katika njia kuu za mabasi ya mwendokasi.
Mfano njia ya kimara kuelekea gerezani ama kivukoni kwa abiria anayeanza safari yake katika vituo vya Korogwe, Bucha ,Baruti, Shekilango, Tiptop n.k kupata nafasi ya kupanda mabasi haya nyakati za asubuhi ama jioni ni ndoto kwa kweli kitendo kinachopelekea watu kuchelewa makazini na wanafunzi kuchelewa kufika shuleni.
Ombi langu kwa UDART kwanini wasiweke mabasi ambayo yataanzia kati kukusanya abiria waliokwama katika vituo hivi vya kati? kwasababu mara nyingi mabasi haya hujaza abiria kupita kiasi kabla hayajaanza usafiri kutoka katika vituo vikuu kama Mbezi magufuli, Kimara terminal, kivukoni, Morocco huku yakipitiliza katika vituo vya kati kutokana na kujaa kupitiliza.
Imekuwa kero, shida, usumbufu na tabu kwa abiria wanaotegemea usafiri huu katika vituo vya kati vilivyopo katika njia kuu za mabasi ya mwendokasi.
Mfano njia ya kimara kuelekea gerezani ama kivukoni kwa abiria anayeanza safari yake katika vituo vya Korogwe, Bucha ,Baruti, Shekilango, Tiptop n.k kupata nafasi ya kupanda mabasi haya nyakati za asubuhi ama jioni ni ndoto kwa kweli kitendo kinachopelekea watu kuchelewa makazini na wanafunzi kuchelewa kufika shuleni.
Ombi langu kwa UDART kwanini wasiweke mabasi ambayo yataanzia kati kukusanya abiria waliokwama katika vituo hivi vya kati? kwasababu mara nyingi mabasi haya hujaza abiria kupita kiasi kabla hayajaanza usafiri kutoka katika vituo vikuu kama Mbezi magufuli, Kimara terminal, kivukoni, Morocco huku yakipitiliza katika vituo vya kati kutokana na kujaa kupitiliza.