Udbs hamtendi haki na hizo internship zenu.


nawe una gundu zako tu, mbona karibia wote walioomba wamepata? Au na wewe una UDBS yako?
 
kama vp wachaneni mawaiti, uwo si mpanga wao wanajua sababu mna njaa mtafanya tu amna jinsi. but mjoonge mjongeni lkn akiyake mpeni. niyo tu mkuu, poleni sana, msikubali kufanya kazi kwa ziki.
 
kama vp wachaneni mawaiti, uwo si mpanga wao wanajua sababu mna njaa mtafanya tu amna jinsi. but mjoonge mjongeni lkn akiyake mpeni. niyo tu mkuu, poleni sana, msikubali kufanya kazi kwa ziki.

kama hana ziki kelele za nini, aache aone wenye ziki wanavyofanya kazi fasta, mfungwa hachagui gereza kijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…