Udenda unanikera.....

Maria Nyamhanga

Senior Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
130
Reaction score
25
Mtoto wangu anaumri wa miezi mitatu.. ila ameanza kutokwa udenda akiwa na miezi miwili. Ila huu udenda umezidi kawaida na anakuwa anatema mate sana! tatizo ni nini? je ni kutokuweza kumsafisha vizuri mdomo? pia kama kunadawa ya kusaifishia ulimi wa mtoto nisaidieni kiujua.
 

kwenye kumsafisha ulimi mama yangu alikuwa anamsafisha wa kwangu kwa kutumia mmea unaoitwa mkarekare sijui wengine watakuwa na njia tofauti.
 
kwenye kumsafisha ulimi mama yangu alikuwa anamsafisha wa kwangu kwa kutumia mmea unaoitwa mkarekare sijui wengine watakuwa na njia tofauti.

Nilishawahi kusikia ila huku nilipo hakuna huo mmea sijui kama kuna njia nyingine tofauti nduguyangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…