Samahani Wana JF kwa walio na taarifa au walioko huko uarabuni
Nataka nikasome driving ili niombee kazi huko
Sasa naomba kuuliza ni madereva gani wanahitajika kama ni taxi au maloro naomba ufafanuzi
NB : Sijui chochote kuhusu udereva kama nimekosea mtanisahihisha, kejeli zinaruhusiwa.
Nataka nikasome driving ili niombee kazi huko
Sasa naomba kuuliza ni madereva gani wanahitajika kama ni taxi au maloro naomba ufafanuzi
NB : Sijui chochote kuhusu udereva kama nimekosea mtanisahihisha, kejeli zinaruhusiwa.