Udhaifu katika kuishawishi dunia bomba la mafuta ghafi

Udhaifu katika kuishawishi dunia bomba la mafuta ghafi

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Wadau wa sekta ya mafuta, mradi huu mkubwa wa bomba la mafuta Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania serikali zetu hazikutekeleza mikakati ya kuifahamisha dunia manufaa yake. Tulijifungia na kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa lugha zetu.



Source : azam tv
 
Na Dunia ishasema No, ila Kwa kuwa watu wanajifanya hawajui wanashupaza shingo. You've to tell the people the truth. Nchi za Africa zimejaa ujanja janja. Kama watanzania wamelipwa fidia huenda huko Uganda hawajalipa wananchi wao fidia wanaopaswa kupisha mradi. Hapa ndiyo mambo ya haki za binadamu yanapopata nguvu. Kingine
 
Back
Top Bottom