Na Dunia ishasema No, ila Kwa kuwa watu wanajifanya hawajui wanashupaza shingo. You've to tell the people the truth. Nchi za Africa zimejaa ujanja janja. Kama watanzania wamelipwa fidia huenda huko Uganda hawajalipa wananchi wao fidia wanaopaswa kupisha mradi. Hapa ndiyo mambo ya haki za binadamu yanapopata nguvu. Kingine