Udhaifu wa hoja ya uwepo wa Jehanamu

Udhaifu wa hoja ya uwepo wa Jehanamu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Miaka elfu Kumi ijayo Dini za ukristo Na uislamu huenda zikawa zimetoweka kabisa Afrika( kwingineko duniani zinatoweka Kwa Kasi ya ajabu ) na watu watarejea kwenye Imani zao ZA asili ZA matambiko .

Kwa Sababu ukitafakari Kwa kina utagundua mafundisho mengi ya Dini hizi yapo kinyume Na uhalisia wa sifa ZA Mungu.

Hivi Kwa mfano unaposema kwamba siku ya mwisho watenda dhambi wote watatupiwa kwenye ziwa la Moto huko Jehanamu halafu at the same time unasema Mungu anajua yaliyopita yaliyopo Na yajayo huoni kwamba una fanya Mungu aonekane Ni mkatili kwamba Kwa Sababu watakao kwenda jehanamu Alisha wajua hata kabla walizaliwa ?

Anyways leo hiyo sio hoja yangu ila hoja yangu Ni kwamba dhana ya uwepo WA jehanamu Ni dhaifu Kwa Sababu zifuatazo:

1. HAKUNA BINADAMU MWENYE UWEZO WA KUMKASIRISHA MUNGU: WAAMINI jehanamu wanatoa hoja kwamba watenda dhambi mtatupwa jehanamu kwa Sababu mtakuwa mmemkasirisha Mungu.ARE U SERIOUS? Ukisema unaweza kumkasirisha Mungu maana yake Ni kwamba wewe una uwezo wa kuko control hisia za Mungu. Kwamba wewe una nguvu Sana kiasi kwamba una uwezo kumfanya Mungu akasirike kitu ambacho hakiwezekani.

2. GOD CAN NEVER BE SURPRISED BY ANYTHING.

Watetea jehanamu Ni kama wanasema kwamba siku ya mwisho God will be like " HE! HE! HE! DAH YANI NYINYI BINADAMU NDIO MMEFANYA MAKOSA MAKUBWA KIASI HIKI? HAPANA HAPANA HAPANA. WOTE MTAKWENDA MOTONI NYIE!!!

Yani Ni kama vile Mungu atakuwa surprised Na ukubwa WA dhambi zenu kiasi cha kumfanya awatupie jehanamu.

Hakuna kinacho weza kum surprise Mungu. Hakuna kipya chini ya jua.

Hivi Kwa mfano KAMA MIMI TU BINADAMU NIKISIKIA MTU KAMUUA NDUGU YAKE KWA SABABU YA PESA WALA SISHANGAI KWA SABABU NAONA NI JAMBO LA KAWAIDA UNADHANI MUNGU ANAWEZA KUWA SURPRISED NA MATENDO AMBAYO HATA BINADAMU AKIYASIKIA HAWEZI KUWA SURPRISED?

Matter fact Mungu anajua yaliyopo yaliyopita Na yajayo so Hakuna kinacho weza Ku msurprise.

So hoja ya uwepo WA jehanamu Ni dhaifu


# best comment ever

Screenshot_20220213-131917.png
 
Mkuu binafsi nishaanza kuona kubishana na hao watu ni kupoteza muda tu!,vitu vya kiimani inategemea na uelewa wake!.

Sahivi nawaza niwe mchungaji ili nami nizipige fedha tu!.. just imagine mtu kama kiranga leo hii atangaze kuwa anamuamini Mungu na anaupako aanzishe na kanisa unafikiri atapige hela za matoleo na sadaka kiasi gani..?😂

Sahivi ni mwendo wa kila mmoja atajua kivyake tu.
 
Yani umeona udhaifu wa Jehanamu tu kua ndio una kasoro ila udhaifu wa hoja juu ya uwepo wa Mungu bado hujaona?

Yani i sawa na mtu anaye doubt kuhusu nyuzi za spiderman kuweza kuzuia tren na kusema kwamba ni nyuzi za uwongo ila haoni tatizo kwa dhana ya uhalisia wa spiderman ambaye anakwea kwenye highest roof?
 
Ur the true son of ur father
Hilo mbona liko wazi Kabisa.

Mwanadamu hawezi kumkasirisha Mungu.

Labda hii miungu midogo.

Mhusika ndani ya simulizi ya kitabu hawezi kumkasirisha mtunzi aliyeutunga hiyo simulizi
Best comment ever
 
Yani umeona udhaifu wa Jehanamu tu kua ndio una kasora ila udhaifu wa hoja juu ya uwepo wa Mungu bado hujaona?

Yani i sawa na mtu anaye doubt kuhusu nyuzi za spiderman kuweza kuzuia tren na kusema kwamba ni nyuzi za uwongo ila haoni tatizo kwa dhana ya uhalisia wa spiderman ambaye anakwea kwenye highest roof?
😂😂😂😂😂😂
 
Ur the true son of ur father

Best comment over


Yaani Mimi nitunge hadithi alafu nipange wahusika
Labda Juma, Robert, ASHA na Caren alafu
Alafu niweke Scripts hivi;

Juma: Hivi wewe kichaa ni lini utaacha kutoka na Mke wangu, ASHA
Robert: embu tuheshimiane Bwana Juma, sitavumilia maneno yako ya Dharau.
Juma: Mimi na Wewe Nani mwenye Dharau! Eeh! Unamchukua mke wangu alafu unajifanya huelewi! Subiri nikuonyeshe.
(Juma anatoa bastola anampiga Robert)
ASHA na Caren wakatoka wakupiga kelele Kwa taharuk"

Hivi Kwa kisa hiki nilichokitunga ni Kwa namna ipi Juma au Robert au hao Wadada watanichukiza Mimi mtunzi wao ambaye Mimi ndiye ñimewapa uhusika huo?

Kwanza hawanijui, pili wao wanajiona wapo kwenye real life kumbe wapo kwenye simulizi yanguya kubuni ambayo sio kweli😀😀

Nafikiri maisha ndio yako hivyo
 
Yaani Mimi nitunge hadithi alafu nipange wahusika
Labda Juma, Robert, ASHA na Caren alafu
Alafu niweke Scripts hivi;

Juma: Hivi wewe kichaa ni lini utaacha kutoka na Mke wangu, ASHA
Robert: embu tuheshimiane Bwana Juma, sitavumilia maneno yako ya Dharau.
Juma: Mimi na Wewe Nani mwenye Dharau! Eeh! Unamchukua mke wangu alafu unajifanya huelewi! Subiri nikuonyeshe.
(Juma anatoa bastola anampiga Robert)
ASHA na Caren wakatoka wakupiga kelele Kwa taharuk"

Hivi Kwa kisa hiki nilichokitunga ni Kwa namna ipi Juma au Robert au hao Wadada watanichukiza Mimi mtunzi wao ambaye Mimi ndiye ñimewapa uhusika huo?

Kwanza hawanijui, pili wao wanajiona wapo kwenye real life kumbe wapo kwenye simulizi yanguya kubuni ambayo sio kweli😀😀

Nafikiri maisha ndio yako hivyo
Kabisa mkuu Hakuna MTU awezaye kumkasirisha Mungu
 
Wapagani wanazidi kutamalaki kwa upotoshaji wa neno la MUNGU. Ni dalili mbaya za giza la kiroho kuikumba dunia maana watu watakuwa wanaabudu imani zao za ajabu wakitukuza miungu yao
 
Wapagani wanazidi kutamalaki kwa upotoshaji wa neno la MUNGU. Ni dalili mbaya za giza la kiroho kuikumba dunia maana watu watakuwa wanaabudu imani zao za ajabu wakitukuza miungu yao
Kati yangu mimi Na Lutu alie zaa Na binti zake mwenyewe Nani anastahili kuitwa mpagani?
 
Sema hii hoja yako itakuwa na mashiko endapo Mungu kama atakuwa mmoja hila kama miungu itakuwa mingi itakosa mashiko.
 
Tumtengeneze ( Tumuumbe sijui ) kwa Mfano wetu! Ujinga Mtupu

Dini waachieni wenyewe Illuminati...dini zote wamezileta wao kwa maslahi yao, sasa wewe mmnatumbi utayumbishwa sana..sababu uaminicho hakipo na hakijawahi kuwepo..
JamiiForums1681497673.jpg
 
Miaka elfu Kumi ijayo Dini za ukristo Na uislamu huenda zikawa zimetoweka kabisa Afrika( kwingineko duniani zinatoweka Kwa Kasi ya ajabu ) na watu watarejea kwenye Imani zao ZA asili ZA matambiko .

Kwa Sababu ukitafakari Kwa kina utagundua mafundisho mengi ya Dini hizi yapo kinyume Na uhalisia wa sifa ZA Mungu.

Hivi Kwa mfano unaposema kwamba siku ya mwisho watenda dhambi wote watatupiwa kwenye ziwa la Moto huko Jehanamu halafu at the same time unasema Mungu anajua yaliyopita yaliyopo Na yajayo huoni kwamba una fanya Mungu aonekane Ni mkatili kwamba Kwa Sababu watakao kwenda jehanamu Alisha wajua hata kabla walizaliwa ?

Anyways leo hiyo sio hoja yangu ila hoja yangu Ni kwamba dhana ya uwepo WA jehanamu Ni dhaifu Kwa Sababu zifuatazo:

1. HAKUNA BINADAMU MWENYE UWEZO WA KUMKASIRISHA MUNGU: WAAMINI jehanamu wanatoa hoja kwamba watenda dhambi mtatupwa jehanamu kwa Sababu mtakuwa mmemkasirisha Mungu.ARE U SERIOUS? Ukisema unaweza kumkasirisha Mungu maana yake Ni kwamba wewe una uwezo wa kuko control hisia za Mungu. Kwamba wewe una nguvu Sana kiasi kwamba una uwezo kumfanya Mungu akasirike kitu ambacho hakiwezekani.

2. GOD CAN NEVER BE SURPRISED BY ANYTHING.

Watetea jehanamu Ni kama wanasema kwamba siku ya mwisho God will be like " HE! HE! HE! DAH YANI NYINYI BINADAMU NDIO MMEFANYA MAKOSA MAKUBWA KIASI HIKI? HAPANA HAPANA HAPANA. WOTE MTAKWENDA MOTONI NYIE!!!

Yani Ni kama vile Mungu atakuwa surprised Na ukubwa WA dhambi zenu kiasi cha kumfanya awatupie jehanamu.

Hakuna kinacho weza kum surprise Mungu. Hakuna kipya chini ya jua.

Hivi Kwa mfano KAMA MIMI TU BINADAMU NIKISIKIA MTU KAMUUA NDUGU YAKE KWA SABABU YA PESA WALA SISHANGAI KWA SABABU NAONA NI JAMBO LA KAWAIDA UNADHANI MUNGU ANAWEZA KUWA SURPRISED NA MATENDO AMBAYO HATA BINADAMU AKIYASIKIA HAWEZI KUWA SURPRISED?

Matter fact Mungu anajua yaliyopo yaliyopita Na yajayo so Hakuna kinacho weza Ku msurprise.

So hoja ya uwepo WA jehanamu Ni dhaifu


# best comment ever

View attachment 2118319
Unajua mkuu, kuna supernatural power binafsi naaitaga Mungu.
Kwamba alituumba akatupa
Akili
Maarifa
Mali
Pesa na kila kitu, ni kutumia akili tu na maarifa kupata maisha bora

Sasa shida inaanzia wapi,
Mtu akiumwa - kanisani.
MTU akiwa na mtiani UE kanisani
MTU akifeli kwa biashara kanisani
Kila kitu kinapelekwa kanisani
Na kuna wajannja, wanatumia hizo akili kupiga hao watu ipasavyo.

Ukitaka pesa mafuta ya pesa , kuna mapya yametoka ya Nabii shila
MTU akiumwa, na huu umasikini badala aende hospital anaenda waapi- church ,
Ukitaka kumrudisha mumeo kalete suruale yake tuiombee n.k


Hizo dini nazo nyingi ni akili zinatumikakushibisha matumbo ya wachache

Kuna jambo nawaza sana la kwanini hakuna sehemu za concealing za serikali kila wilaya kuwe na wasomi washauri , matatizo na stress mbalimbali zipelekwe huko kama ,
Ndoa
Kupoteza kwa biashara
Ugonnjwa usiopona
Umasikini
Na mambo mbalimbali yanayopelekwaga church kuyaombea
 
Watu hufikiri imani ni jambo dogo sana (kitu kidogo sana), na hivyo kutoipa umuhimu unaostahili. Kwa kuwa hata ukiikazania haupati malipo kama ambavyo tunavyotumia nguvu zetu katika mambo mengine (shughuli zingine) ili kuendelea kusurvive hapa duniani. Laiti kama kungekuwa na malipo katika imani, wengi sana tungejikita huko na pengine kumjuwa Mungu zaidi. Lakini kwa kuwa kwenye imani hakuna malipo, wengi wetu tunaona kuwa tunapoteza muda kwenye jambo ambalo halina maana kwenye maisha yetu hapa duniani.

Yawezekana mtoa mada, na wewe ni mmoja wa watu ambao nimewaongelea hapo juu. Kama utaiweka akili yako yote katika kuielewa hiyo imani, hakika hutaona unapoteza muda; fanya kila jitihada kuitafuta, kama unavyofanya jititihada kuendesha maisha yako, utaona mambo haya unayoandika hapa yanakuwa marahisi sana kwako.

Unachanganya mambo ya kidunia na kiimani, kidunia ukiambiwa uprove kuwa duara lina nyuzi 360, unaweza kufanya hivyo. Lakini huwezi kuprove kidunia kwamba Mungu yupo na anaishi, isipokuwa kwa imani tu. Na imani hiyo haiji bila kuweka nia. Ndipo narudia kusema ili ufikie viwango hivyo, yakubidi utumie akili yako yote kuijuwa hii imani ni nini na ufanyeje ili uipate. Ni hiyohiyo akili yako itakuwezesha yote haya kama utapenda.

Unasema eti kuna wengine Mungu aliwapendelea na kwamba Mungu ana upendeleo! Hao hawapendelewi, walishawekeza na hayo wanayovuna ni matunda (return) ya uwekezaji wao. Lakini pia Mungu hupatilisha, yawezekana mababu zao huko nyuma waliishi maisha yampendezayo Mungu. Utakumbuka Mungu alimwambia Abrahamu, nitakubariki wewe na vizazi vyako. Unafikiri kwa nini Mungu alifanya hivyo? Ni kwa sababu aliishi maisha ya kumpendeza Mungu. Najuwa haya yote huelewi kwa kuwa akili yako haijajuwa imani ni nini.

Habari yako ina ukakasi sana, nitakushauri kitu kimoja, tafuta sana maarifa katika maandiko matakatifu. Fanya jitihada kama ulivyokuwa unafanya shuleni, Mungu ni mwema, atakuwezesha. Usione unapoteza muda kwenye suala la kiimani. Ukiona mambo ya imani hayana maana, basi kumbe kulikuwa hakuna haja Mungu kukupa akili. Kuanzia sasa funguka kutafuta maarifa. Nakuombea kwa Mungu akusamehe haya uliyoandika, yawezekana hukujuwa utendalo.


Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Miaka elfu Kumi ijayo Dini za ukristo Na uislamu huenda zikawa zimetoweka kabisa Afrika( kwingineko duniani zinatoweka Kwa Kasi ya ajabu ) na watu watarejea kwenye Imani zao ZA asili ZA matambiko .

Kwa Sababu ukitafakari Kwa kina utagundua mafundisho mengi ya Dini hizi yapo kinyume Na uhalisia wa sifa ZA Mungu.

Hivi Kwa mfano unaposema kwamba siku ya mwisho watenda dhambi wote watatupiwa kwenye ziwa la Moto huko Jehanamu halafu at the same time unasema Mungu anajua yaliyopita yaliyopo Na yajayo huoni kwamba una fanya Mungu aonekane Ni mkatili kwamba Kwa Sababu watakao kwenda jehanamu Alisha wajua hata kabla walizaliwa ?

Anyways leo hiyo sio hoja yangu ila hoja yangu Ni kwamba dhana ya uwepo WA jehanamu Ni dhaifu Kwa Sababu zifuatazo:

1. HAKUNA BINADAMU MWENYE UWEZO WA KUMKASIRISHA MUNGU: WAAMINI jehanamu wanatoa hoja kwamba watenda dhambi mtatupwa jehanamu kwa Sababu mtakuwa mmemkasirisha Mungu.ARE U SERIOUS? Ukisema unaweza kumkasirisha Mungu maana yake Ni kwamba wewe una uwezo wa kuko control hisia za Mungu. Kwamba wewe una nguvu Sana kiasi kwamba una uwezo kumfanya Mungu akasirike kitu ambacho hakiwezekani.

2. GOD CAN NEVER BE SURPRISED BY ANYTHING.

Watetea jehanamu Ni kama wanasema kwamba siku ya mwisho God will be like " HE! HE! HE! DAH YANI NYINYI BINADAMU NDIO MMEFANYA MAKOSA MAKUBWA KIASI HIKI? HAPANA HAPANA HAPANA. WOTE MTAKWENDA MOTONI NYIE!!!

Yani Ni kama vile Mungu atakuwa surprised Na ukubwa WA dhambi zenu kiasi cha kumfanya awatupie jehanamu.

Hakuna kinacho weza kum surprise Mungu. Hakuna kipya chini ya jua.

Hivi Kwa mfano KAMA MIMI TU BINADAMU NIKISIKIA MTU KAMUUA NDUGU YAKE KWA SABABU YA PESA WALA SISHANGAI KWA SABABU NAONA NI JAMBO LA KAWAIDA UNADHANI MUNGU ANAWEZA KUWA SURPRISED NA MATENDO AMBAYO HATA BINADAMU AKIYASIKIA HAWEZI KUWA SURPRISED?

Matter fact Mungu anajua yaliyopo yaliyopita Na yajayo so Hakuna kinacho weza Ku msurprise.

So hoja ya uwepo WA jehanamu Ni dhaifu


# best comment ever

View attachment 2118319
Jipe moyo
 
Back
Top Bottom