Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Wakichunguza kesi walizoelekezwa na wanasiasa badala wafuate mfumo wakisheria wanawapelekea Kwanza wanasiasa kuuliza kama wachukue hatua gani?
Nchi nyingine uchunguzi ukikamilika unapata taarifa kamili kupitia vyombo vya habari na hatua zakuchukua. Lakini pia hakuna siku wananchi wanyonge wamewahi kuchunguzwa na chombo hiki then wanasiasa wakapelekewa taarifa, utasikia kwa mbwembwe kabisa amekamatwa iwa rushwa ya kiasi kadhaa au ya ngono na kufikishwa mahakamani.
Je, ni lini chombo hiki kitaweza kutekeleza majukumu yake bila kuangalia fedha, madaraka wala nafasi ya mtu? Leo hii hakuna mtuhumiwa wa report ya CAG aliyehojiwa, wanasubiri Rais aelekeze
Nchi nyingine uchunguzi ukikamilika unapata taarifa kamili kupitia vyombo vya habari na hatua zakuchukua. Lakini pia hakuna siku wananchi wanyonge wamewahi kuchunguzwa na chombo hiki then wanasiasa wakapelekewa taarifa, utasikia kwa mbwembwe kabisa amekamatwa iwa rushwa ya kiasi kadhaa au ya ngono na kufikishwa mahakamani.
Je, ni lini chombo hiki kitaweza kutekeleza majukumu yake bila kuangalia fedha, madaraka wala nafasi ya mtu? Leo hii hakuna mtuhumiwa wa report ya CAG aliyehojiwa, wanasubiri Rais aelekeze