Udhaifu wa viungo vya mwili

Udhaifu wa viungo vya mwili

Yusuph Salehe

Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
58
Reaction score
1
Habari zenu wana JF naombeni msaada wenu viungo vyangu vya mwili ni dhaifu sana hasa katika viungio vya mikono pamoja na miguu kiasi kwamba naweza pata ajali ndogo nikavimba,vunjika au kuteguka. Naombeni mawazo yenu nini laweza kuwa tatizo, linasababishwa na nini na nifanye nini kuondokana na tatizo hili?
 
Siwezi kukusaidia ila pole sana!!Kwanini usionane na daktari?
 
Ndugu yangu mi nakushauri ukamuone Daktari wa mifupa haraka iwezekanavyo
kama ni kweli unavyosema kuwa ni rahisi kuvunjika kunamambo mengi yanaweza sababisha ila kwa ushauri nenda kamuione dr wala usijindanye kupewe shortcut hapa yawezekana kama kweli ulivyoeeleza hapo juu japo kuwa si kwa uhakika saana ukawa na osteoporosis narudia kuwa sina uhakika kwa sababu hujatoa maelezo kamili, yaani umeyatoa ki ujumla mno.

so kamuone Dr wa mifupa.

Nakutakia matibabu mema.
 
inawezeka n mpenz mzur ma kula mayai ya kisasa !
kuku wa kisasa !
pia acha kula vyakula vilivyocndkwa
kula dagaa san
 
achana na chipsi mayai. kula ugali wa dona, dagaa na matembele kwa wingi. mwone daktari pia
 
Back
Top Bottom