ShabyGabby
Member
- Dec 2, 2018
- 5
- 2
Hello Tanzania na East Africa kwa ujumla.
Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na ongezeko la watu mashuhuri kutoka pande tofauti tofauti za dunia ambao kimsingi kupitia vyombo mbali mbali vya habari na mitandao kuelezea namna ambavyo waliweza kutoka katika umasikini uliokithiri mpaka kuwa mabosi(ni jambo zuri)
Baadhi ya watu hawa ni mgunduzi wa mtandao wa kijamii maarufu kama facebook,Bill Gates,Ali baba na wengine wengi.
Nimejaribu kuzisikiliza shuhuda zao juu ya kufanikiwa kwao kwamba ni kipi walifanya na kipi hawakufanya.
Lakini kuna vitu vya msingi wamekua wakijisahau juu ya kufanikiwa kwa mtu kwani unapomweleza mtu kuhusu jinsi ya kufanikiwa ni lazima uangalie vitu kama Sera za nchi,uchumi wa nchi na mwananchi mmoja mmoja,kiwango cha teknolojia,na hata utamaduni pia.Lazima ujue kuwa vitu hivi vinatofautiana kati ya nchi na nchi hivyo unapotoa public speaking lazima uvizingatie na sio kujenerolize .......
ITAENDELEA
Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na ongezeko la watu mashuhuri kutoka pande tofauti tofauti za dunia ambao kimsingi kupitia vyombo mbali mbali vya habari na mitandao kuelezea namna ambavyo waliweza kutoka katika umasikini uliokithiri mpaka kuwa mabosi(ni jambo zuri)
Baadhi ya watu hawa ni mgunduzi wa mtandao wa kijamii maarufu kama facebook,Bill Gates,Ali baba na wengine wengi.
Nimejaribu kuzisikiliza shuhuda zao juu ya kufanikiwa kwao kwamba ni kipi walifanya na kipi hawakufanya.
Lakini kuna vitu vya msingi wamekua wakijisahau juu ya kufanikiwa kwa mtu kwani unapomweleza mtu kuhusu jinsi ya kufanikiwa ni lazima uangalie vitu kama Sera za nchi,uchumi wa nchi na mwananchi mmoja mmoja,kiwango cha teknolojia,na hata utamaduni pia.Lazima ujue kuwa vitu hivi vinatofautiana kati ya nchi na nchi hivyo unapotoa public speaking lazima uvizingatie na sio kujenerolize .......
ITAENDELEA