Udhalilishaji wa ngono utaisha lini

Udhalilishaji wa ngono utaisha lini

Joined
Oct 8, 2024
Posts
8
Reaction score
5
Kila siku kunatolewa taarifa za udhalilishaji baada ya kupungua ndio unaongezaka
Hukumu zinaongezwa lakini bado binaadamu hawashituki na hukumu hizo

Wadau wanaweka makongamano kujadili hili ili wajuwa tatizo ni nini bado wana majibu yale wanawake hawajistri,mporomoko wa maadili.

Akidhalilishwa binti wa makamo yaani mwari au mtu mzima amejipeleka,wanamakubaliano
Udhalishaji ukitojea kwa watoto wachangawanakuwa wamejipeleka au aliyewafanyia udhalilishaji amamua kuwafanyia tu

Waungwana tujadili hili suala vipi linaweza kupunguwa na kutoweka kabisa ?
 
Kila siku kunatolewa taarifa za udhalilishaji baada ya kupungua ndio unaongezaka
Hukumu zinaongezwa lakini bado binaadamu hawashituki na hukumu hizo
Wadau wanaweka makongamano kujadili hili ili wajuwa tatizo ni nini bado wana majibu yale wanawake hawajistri,mporomoko wa maadili.
Akidhalilishwa binti wa makamo yaani mwari au mtu mzima amejipeleka,wanamakubaliano
Udhalishaji ukitojea kwa watoto wachangawanakuwa wamejipeleka au aliyewafanyia udhalilishaji amamua kuwafanyia tu
Waugwana tujadili hili suala vipi linaweza kupunguwa na kutoweka kabisa ?
Hili ni suala mtambuka kwa sababu vyanzo vya tatizo hili vipo vingi Sana.
 
Back
Top Bottom