Udhalilishaji watuhumiwa magereza hadi lini?

Udhalilishaji watuhumiwa magereza hadi lini?

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Wandugu, kuna andiko moja nimelisoma la Tito Magoti, nimelielewa na to declare interest, nilishawahi kufanya kazi kwenye utumishi wa uma kwenye hizo coercive organs....jambo moja la muhimu sana kama nchi tunatakiwa kufika mwisho na lisifanyike tena kwasababu tumelirithi tangu enzi wa ukoloni. nalo ni mwanaume kuvuliwa nguo zote unapoingia magereza, kuambiwa uchuchumae wakiamini umeficha vitu kwenye tigo uruke kichurachura n.k. just try to imagine, kwa wale ambao walishawahi kupelekwa mahabusu gerezani au wafungwa, leteni ushuhuda wenu hapa, tuungane kutokomeza hiki kitu.

1. vua mkanda na toa vitu vyako vyote mapokezi
2. toa nguo ubaki uchi
3. chuchumaa na urukeruke kichura
4. kohoa (ili kama umeingiza kitu tigoni kichomoke)
5. kupigwa sana ukikosea
6. kunyimwa ration ya chakula kama adhabu

siku zote nilikuwa najiuliza kwanini mahabusu wanawaheshimu na kuwaogopa zaidi askari magereza kuliko hata polisi? mahabusu au mfungwa anaweza kujibizana na polisi ila sio magereza.....kumbe mambo yaliyofanyika enzi za ukoloni ambayo nchi za kistaarabu hazifanyi, sisi bado tumeshikilia.

kuna siku nilisikia kama Sugu na Msigwa pia walifungua shauri Mahakama Kuu kutokana na namna walivyodhalilishwa walipokuwa magereza. wenye ushuhuda, ambao walishawahi kwenda gerezani tafadhali tujuzeni.
 
Wandugu, kuna andiko moja nimelisoma la Tito Magoti, nimelielewa na to declare interest, nilishawahi kufanya kazi kwenye utumishi wa uma kwenye hizo coercive organs....jambo moja la muhimu sana kama nchi tunatakiwa kufika mwisho na lisifanyike tena kwasababu tumelirithi tangu enzi wa ukoloni. nalo ni mwanaume kuvuliwa nguo zote unapoingia magereza, kuambiwa uchuchumae wakiamini umeficha vitu kwenye tigo uruke kichurachura n.k. just try to imagine, kwa wale ambao walishawahi kupelekwa mahabusu gerezani au wafungwa, leteni ushuhuda wenu hapa, tuungane kutokomeza hiki kitu.

1. vua mkanda na toa vitu vyako vyote mapokezi
2. toa nguo ubaki uchi
3. chuchumaa na urukeruke kichura
4. kohoa (ili kama umeingiza kitu tigoni kichomoke)
5. kupigwa sana ukikosea
6. kunyimwa ration ya chakula kama adhabu

siku zote nilikuwa najiuliza kwanini mahabusu wanawaheshimu na kuwaogopa zaidi askari magereza kuliko hata polisi? mahabusu au mfungwa anaweza kujibizana na polisi ila sio magereza.....kumbe mambo yaliyofanyika enzi za ukoloni ambayo nchi za kistaarabu hazifanyi, sisi bado tumeshikilia.

kuna siku nilisikia kama Sugu na Msigwa pia walifungua shauri Mahakama Kuu kutokana na namna walivyodhalilishwa walipokuwa magereza. wenye ushuhuda, ambao walishawahi kwenda gerezani tafadhali tujuzeni.
Askari magereza naye ni mfungwa huru tu, duni nzima hawa wamelaaniwa kasoro nchi za Scandinavia ndio wanajuwa thamani ya binadamu.
 
Askari magereza naye ni mfungwa huru tu, duni nzima hawa wamelaaniwa kasoro nchi za Scandinavia ndio wanajuwa thamani ya binadamu.
Umenikumbusha huu wimbo
"I'm in chains, you're in chains too
I wear uniforms and you wear uniforms too
I'm a prisoner
You're a prisoner too, Mr. Jailer
I'm talking to you jailer!

Stop calling me a prisoner
"
 
Wandugu, kuna andiko moja nimelisoma la Tito Magoti, nimelielewa na to declare interest, nilishawahi kufanya kazi kwenye utumishi wa uma kwenye hizo coercive organs....jambo moja la muhimu sana kama nchi tunatakiwa kufika mwisho na lisifanyike tena kwasababu tumelirithi tangu enzi wa ukoloni. nalo ni mwanaume kuvuliwa nguo zote unapoingia magereza, kuambiwa uchuchumae wakiamini umeficha vitu kwenye tigo uruke kichurachura n.k. just try to imagine, kwa wale ambao walishawahi kupelekwa mahabusu gerezani au wafungwa, leteni ushuhuda wenu hapa, tuungane kutokomeza hiki kitu. 1. vua mkanda na toa vitu vyako vyote mapokezi 2. toa nguo ubaki uchi 3. chuchumaa na urukeruke kichura 4. kohoa (ili kama umeingiza kitu tigoni kichomoke) 5. kupigwa sana ukikosea 6. kunyimwa ration ya chakula kama adhabu siku zote nilikuwa najiuliza kwanini mahabusu wanawaheshimu na kuwaogopa zaidi askari magereza kuliko hata polisi? mahabusu au mfungwa anaweza kujibizana na polisi ila sio magereza.....kumbe mambo yaliyofanyika enzi za ukoloni ambayo nchi za kistaarabu hazifanyi, sisi bado tumeshikilia. kuna siku nilisikia kama Sugu na Msigwa pia walifungua shauri Mahakama Kuu kutokana na namna walivyodhalilishwa walipokuwa magereza. wenye ushuhuda, ambao walishawahi kwenda gerezani tafadhali tujuzeni.
 
ni ajabu kwamba mtu mzima (whether na kibamia,dushe,mkono wa shweta au takataka zote hizo) na heshima zako zote pengine ni mbunge, unaambiwa na kijana mdogo tu pengine anafanana na mwanao, toa nguo, chuchumaa, rukaruka kichura tuone kama umeficha kitu kwenye kalio/tigo ..... mambo ya kikoloni kabisa hayo, yanatakiwa yakomeshwe.
 
HIYO TISA, KUMI HII HAPA. NASIKIA KAMA WAKISHUKU KWAMBA UMEJILOAD, WANAKUPIMA OIL
 
Haya magereza yaliyojengwa tangu enzi za Ukoloni pia yamepitwa na wakati. Hao Wakoloni kwao magereza zina cell na kila cell wanakaa watu wawili tena wana choo chao na vitanda double decker.
 
HIYO TISA, KUMI HII HAPA. NASIKIA KAMA WAKISHUKU KWAMBA UMEJILOAD, WANAKUPIMA OIL
kuna udhalilishaji mwingi sana, ile kuvua nguo mbele za watu tu, kuambiwa uchuchumae na ukohoe wakiamini utakuwa umeweka vitu kwenye tigo ili vichoropoke ukikohoa ile ni udhalilishaji, watafute tu mashine ya kupima hata kama zile za airport tu ila utu wa mtu uheshimiwe. kuvuliwa nguo mbele za watu ni balaa. na upande wa wanawake pia, wanavuliwa nguo pia (though na askari wanawake wenzao).
 
Huu utaratibu muhimu uondolewe, watumie scan na vifaa kama unavyopita airport.

Wengine ni watuhumiwa tu hawana hatia, kwa utaratibu huu ni tayari kama umeshampa hukumu ya kudhalllishwa.

Mtu yoyote anaweza kutuhumiwa kwa kosa/ kitu chochote.
 
Post ina misamiati "tigo" na "kupima oil" ambayo haitoshi na haikidhi haja na lengo la kutokomeza udhalilishaji.

Huwezi kusema unataka kukomesha udhalilishaji huku unaogopa na au unajaribu kuepuka kuutaja udhalilishaji huo waziwazi.
 
Haya magereza yaliyojengwa tangu enzi za Ukoloni pia yamepitwa na wakati. Hao Wakoloni kwao magereza zina cell na kila cell wanakaa watu wawili tena wana choo chao na vitanda double decker.
Hao wakoloni pia wana maximum security prisons ambazo mfungiwa hungiwa humo masaa takriban 23 siku nzima huku wakizungushiwa kuta ndefu mno zenye madirisha madogo huko hewani, kiasi ambacho mfungwa humaliza hata miezi hajaliona jua isipokuwa anga tu.
 
Huu utaratibu muhimu uondolewe, watumie scan na vifaa kama unavyopita airport.

Wengine ni watuhumiwa tu hawana hatia, kwa utaratibu huu ni tayari kama umeshampa hukumu ya kudhalllishwa.

Mtu yoyote anaweza kutuhumiwa kwa kosa/ kitu chochote.
imagine wewe ni mtuhumiwa tu haujathibitishwa kwamba ni mkosaji, halafu unavuliwa nguo, unachuchumaa, si unaweza shikwa kalio sasa hapo...sehemu yenyewe ni magereza.
 
Post ina misamiati "tigo" na "kupima oil" ambayo haitoshi na haikidhi haja na lengo la kutokomeza udhalilishaji.

Huwezi kusema unataka kukomesha udhalilishaji huku unaogopa na au unajaribu kuepuka kuutaja udhalilishaji huo waziwazi.
hujui kupima oil mzee, au unataka tukupime oil? uonyeshwe namna inavyopimwa.
 
imagine wewe ni mtuhumiwa tu haujathibitishwa kwamba ni mkosaji, halafu unavuliwa nguo, unachuchumaa, si unaweza shikwa kalio sasa hapo...sehemu yenyewe ni magereza.


Kwanini hauondolewi na wahusika?

Sababu hawafikirii hata siku moja wanaweza kujikuta kwenye hiyo situation. Wangejua wakati wowote kuna uwezekano mkubwa wanaweza kujikuta lupango wangeubadilisha chap chap.

Of course kutuhumiwa inaweza kutokea kwa mtu yoyote, wakati wowote, kwa kitu chochote.
 
Kwanini hauondolewi na wahusika?

Sababu hawafikirii hata siku moja wanaweza kujikuta kwenye hiyo situation. Wangejua wakati wowote kuna uwezekano mkubwa wanaweza kujikuta lupango wangeubadilisha chap chap.

Of course kutuhumiwa inaweza kutokea kwa mtu yoyote, wakati wowote, kwa kitu chochote.
si uliambiwa kipindi kile sabaya anatiga gerezani akaambiwa achuchumae akaguliwe akagoma ndio varangati likatokea...hahahaha, siku hizi atakuwa anainama kabisa manake ashakuwa mfungwa.
 
si uliambiwa kipindi kile sabaya anatiga gerezani akaambiwa achuchumae akaguliwe akagoma ndio varangati likatokea...hahahaha, siku hizi atakuwa anainama kabisa manake ashakuwa mfungwa.

Ila hata wewe kujikuta unaambiwa uchuchumae, unainamishwa kwa kosa lolote liwe ukweli au kusingiziwa.

Imetokea kwa kina Mbowe, Sugu, Lema na wengine wengi tu.

Ni issue zaidi ya haki za binadamu, ubinadamu, utu kuliko mambo ya kisiasa.
 
Ila hata wewe kujikuta unaambiwa uchuchumae, unainamishwa kwa kosa lolote liwe ukweli au kusingiziwa.

Imetokea kwa kina Mbowe, Sugu, Lema na wengine wengi tu.

Ni issue zaidi ya haki za binadamu, ubinadamu, utu kuliko mambo ya kisiasa.
sasa haya ndio mambo wanachadema tunategemea wayasemee ili kuteketeza unyanyasaji huu. nimeandika huu uzi baada ya kufanya research, na kusikia kwadogo mmoja anaitwa Tito magoti aliandika barua fulani kwa rais...dogo alikuwa gerezani na ameandika mengi sana ya gerezani....inaumiza sana.
 
si uliambiwa kipindi kile sabaya anatiga gerezani akaambiwa achuchumae akaguliwe akagoma ndio varangati likatokea...hahahaha, siku hizi atakuwa anainama kabisa manake ashakuwa mfungwa.
Ule ulikuwa uongo tu....ukifika pale huwezi kugoma maana ukikataa yatakukuta mazito.
 
Ule ulikuwa uongo tu....ukifika pale huwezi kugoma maana ukikataa yatakukuta mazito.
yeye kipindi kile alikuwa anajijua kuwa bado ana hadhi ya ukuu wa wilaya, alikuwa na jeuri yote....hivi unamjua sabaya unamsikia.
 
yeye kipindi kile alikuwa anajijua kuwa bado ana hadhi ya ukuu wa wilaya, alikuwa na jeuri yote....hivi unamjua sabaya unamsikia.
Sabaya alikuwa na jeuri alipokuwa DC....ila tambua hili...ukishaingia mikononi mwa wale jamaa ubabe wote unaisha unakuwa mdogo kama piriton.
 
Back
Top Bottom