Udhamini elimu ya juu

Udhamini elimu ya juu

yousaw

Senior Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
160
Reaction score
128
Wakuu naomba kwa yeyote anae fahamu ikiwa ni mtu binafsi, shirika, taasisi ama kampuni inayodhamini watu elimu ya chuo kwa mashart nafuu especially ktk masomo ya sayansi naomba kujuzwa TAFADHALI.
 
Wakuu naomba kwa yeyote anae fahamu ikiwa ni mtu binafsi, shirika, taasisi ama kampuni inayodhamini watu elimu ya chuo kwa mashart nafuu especially ktk masomo ya sayansi naomba kujuzwa TAFADHALI.
Masomo yapi ya sayansi na Loan board hukuomba?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Masomo yapi ya sayansi na Loan board hukuomba?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Kwenye kada ya afya mkuu maks zangu zinaniruhusu kusoma diploma ila sasa school fees imekuwa mtihan ndio maana natafuta sponsorship!!!
Au loan board wanatoa hata kwa diploma???
 
Kwenye kada ya afya mkuu maks zangu zinaniruhusu kusoma diploma ila sasa school fees imekuwa mtihan ndio maana natafuta sponsorship!!!
Au loan board wanatoa hata kwa diploma???
Pole sana ndugu miaka 8 iliyopita nilipitia hali kama yako. Nilikuwa na laki na nusu pekee nikajitoa mwanga kwenda chuo cha serikali co, nilipambana mpk nikamaliza chuo bila kudaiwa.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana ndugu miaka 8 iliyopita nilipitia hali kama yako. Nilikuwa na laki na nusu pekee nikajitoa mwanga kwenda chuo cha serikali co, nilipambana mpk nikamaliza chuo bila kudaiwa.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Ulipambanaje mkuu kwa laki na nusu mkononi? Najua vyuo vya afya ada ni kuanzia milioni na kuendelea tena vya serikali. Ukizingatia msosi anajitegemea mwanafunzi
 
Ulipambanaje mkuu kwa laki na nusu mkononi? Najua vyuo vya afya ada ni kuanzia milioni na kuendelea tena vya serikali. Ukizingatia msosi anajitegemea mwanafunzi
Ni story ndefu na Mkono wa Mungu umechangia maana nilizunguka kuanzia Kwa Mkuu wa Wilaya, Diwani wa huko mpk wizara ya Afya, Mwaka wa kwanza nikapata Sponsor kutoka kwa diwani. Second yr na 3rd yr Sponsor kutoka Wizara ya Afya.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Daah ulipambana mkuu hv kwa Sasa wanaweza kuwepo hawa viumbe wenye kuguswa na mambo kama haya kweli na sisi tujaribu?
 
Kuna kipindi global fund kwa kushirikiana na wizara ya afya walikua wanatoa ufadhili kwa wanafunzi wa clinical medicine,fuatalia wizara ya afya kama bado wanaendelea.
 
Ni story ndefu na Mkono wa Mungu umechangia maana nilizunguka kuanzia Kwa Mkuu wa Wilaya, Diwani wa huko mpk wizara ya Afya, Mwaka wa kwanza nikapata Sponsor kutoka kwa diwani. Second yr na 3rd yr Sponsor kutoka Wizara ya Afya.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Aaa kweli ulipambana sio kidogo.
Huwa naona vijana wa chuo wanapita mtaani wakiwa na barua kutoka kwa DC pia fomu za kuomba msaada wa ada
 
Wakuu naombeni process nianzie wap na niwe na kielelezo gan nataka niende office ya mkuu wa mkoa kuomba UDHAMINI.
 
Back
Top Bottom