Udhamini

Allam

Senior Member
Joined
May 4, 2013
Posts
142
Reaction score
9
Wadau naomba kujuzwa kama kunataasisi inayodhamini masomo ya ngazi ya udhamiri kwa wanafunzi wanao taka kusoma kozi za linguistics hapa nchini hata kama ni kwa mwaka mmoja Nina GPA ya 3.9 from UDSM.

Na napenda sana kusoma sign language ktk masters yangu.
 
wadau naomba kujuzwa kama kunataasisi inayodhamini masomo ya ngazi ya udhamiri kwa wanafunzi wanao taka kusoma kozi za linguistics hapa nchini hata kama ni kwa mwaka mmoja.





Mkuu labda uingie kwenye mitandao utafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…