Udhibiti wa fedha zetu

Malipo ya viza na vibali
 
Tatizo kubwa katika Idara ya Uhamiaji ni kutowasilisha
fedha serikalini kwa wakati.
• Karibu sh milioni 124 zilikusanywa lakini hazikupelekwa
benki.

• Ofi si ya Uhamiaji Zanzibar ilikusanya sh bilioni 2.8
lakini haikuzipeleka Makao Makuu Dar es Salaam.


Nani wanakula hii pesa? Je hatua zozote zinachukuliwa?
 
Makusanyo ya Kodi

Majabu ya serikali ya majambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…