Udhulumati wilaya ya Sumbawanga

kitabuchetu

New Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
4
Reaction score
0
Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga imefanya kitendo kibaya kwa walimu wa ajira ya mwaka 2010 grade iiiA , imeletewa walaka wa kuwalipa walimu fedha yao ya nauli na mizigo lakini haikuwalipa ,baada ya walimu hao kupata walaka huo na kuupeleka mahali pale na kudai haki yao walicho ambiwa nikuwa deni lime expiry .
Je ni haki kweli ,je wao hawakujua kuwa wanatakiwa kulipa,au waliwazima ili wajekusema zime expiry?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…