Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Uislam nao ni dini,ingekuwa dini mngechoma makanisa au kujilipua wenyewe ati mtu na akili zako unavaa mijibomu unaingia sokoni kwenda kujilipua ati wewe ufe na mijihela uliyopewa na Magaidi wale familia yako halafu kwa kuwa wao wanaamini akifanya hivyo anaenda Ahera wakati mie nafahamu Ahera ni waendako wafu so watabakia huku milele na milele imekula kwenu dini ya Alshababu,Boko haaramu,Uamsho,Alkaida,Abusayafu nk
Hheheheh ona kule Myama wenzenu wanavyobutuliwa na Wabudisti.
Heri kuwa Budist kuliko kuwa Muislam dini ya mashetani na Ugaidi
wakiristo mna roho mbaya sana ila haitusumbui kwani Quran inasema ''kamwe hawatoridhika mayahudi na wakiristo mpaka mfuate mila zao'' kwa wale wasiofahamu udom ina takriban wanafunzi 20,000 ambapo 17,000 ni wakiristo na 3,000 ni waislamu, administrative staffs wako 320 ambapo wakiristo ni takriban 238 na waislam ni 82 kwa upande wa malecturer wako takriban 500 ambapo wakiristo ni zaidi ya asilimia 70. Sasa sijui kupendelewa kwa waislamu kunatoka wapi? Pia udom ina college 5 na zote zinaongozwa na wakiristo(principles). Hapa utakuja kugundua kwamba kelele zote ni kwasababu kuna baadhi vyeo vya juu vinashikwa na waislamu? Yoyote anaweza utafiti na atagundua watu wanaropoka tu. Acheni hatutafika.
Kauawe kwa ajili ya huyo mungu wako uone, sekunde chache baada ya roho kutengana na mwili utakutana na shetani mwenyewe na atakudhihaki sana kwa namna alivyokudanya na wewe kumwabudu ukadhani ni Mungu wa kweli kumbe ibilisi. Kama una akili ya kukutosha shutuka kabla hujatokomezwa, umpokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wako.We acha kuongea kam
a umefufuka.! Aman
ya nch hii ipo mikono
n mwetu,lakin cha aja
bu zaid waislam tuki
uwa kwa ajil ya mung
u tunalipwa na tukiu
wawa tunalipwa.
(win-win principle)
JE NYINY MNAWEZA???
Wewe ni muongo mkubwa sana na unaudhalilisha uislam na quran takatifu.
Hizi data umetoa wapi? yataje majina matano ya hao ma principles wakristo na umejuaje kuwa ni wakristo
yani hilo ni kweli hadi vikao vyenu vya kuchagua viongozi wa chuo kwa kigezo cha udini si mnavyo? udom kumejaa udini na ndo maana chuo hakina hadhi kile...chuo cha kata
wakiristo mna roho mbaya sana ila haitusumbui kwani Quran inasema ''kamwe hawatoridhika mayahudi na wakiristo mpaka mfuate mila zao'' kwa wale wasiofahamu udom ina takriban wanafunzi 20,000 ambapo 17,000 ni wakiristo na 3,000 ni waislamu, administrative staffs wako 320 ambapo wakiristo ni takriban 238 na waislam ni 82 kwa upande wa malecturer wako takriban 500 ambapo wakiristo ni zaidi ya asilimia 70. Sasa sijui kupendelewa kwa waislamu kunatoka wapi? Pia udom ina college 5 na zote zinaongozwa na wakiristo(principles). Hapa utakuja kugundua kwamba kelele zote ni kwasababu kuna baadhi vyeo vya juu vinashikwa na waislamu? Yoyote anaweza utafiti na atagundua watu wanaropoka tu. Acheni hatutafika.
We acha kuongea kam
a umefufuka.! Aman
ya nch hii ipo mikono
n mwetu,lakin cha aja
bu zaid waislam tuki
uwa kwa ajil ya mung
u tunalipwa na tukiu
wawa tunalipwa.
(win-win principle)
JE NYINY MNAWEZA???
Habari wanajamvi,
naanza moja kwa moja kwa kueleza hili kwa furaha isiyo kifani juu ya hizi fikra za udini UDOM zilivyotapakaa.
Yani pale UDOM ukiwa muislam tu, ushapata kazi
Nafasi karibu zote za juu ni waislamu
Ustadh Kikwete kajaza waislam UDOM na katika idara nyingi za serikali
Dr Ame kajaza wazanzibari UDOM
UDOM ni branch ya MUM
....................
Hizo ni baadhi ya kauli ambazo zimezagaa humu jamvini.
Sasa hebu tusaidiane katika maswala haya machache:
Hivi ni kweli kuwa hakuna waislam wanaokosa kazi hapo UDOM?
Je vyuo na taasisi nyingine ambazo nafasi za juu zimejazwa na wasio waislam ni za kidini pia?
Ni viongozi na watumishi wangapi katika idara za serikali walishateuliwa na mkapa?
Kuna ubaya gani waislam na wazanzibari kupata admission UDOM?
KINACHONIFURAHISHA NI KUTUKUJIAMINI KWA HAWA NDUGU WASIO WAISLAM KWA KUONA KUWA UKRISTO SIO DINI. NASEMA HAYA KWASABABU UKIJAZA WAKRISTO SEHEMU SIO UDINI ILA UKIWEKA WAISLAM HATA WAWILI TU UTAWASIKIA.
Acheni majungu,kwa taarifa yenu waislam ni wachache UDOM (wanafunzi kwa wafanyakazi) kuliko wasio waislam. mnatuona wengi kwasababu ya roho zenu za kibaguzi,siku zote mnapenda MKIWA 15 waislamu wawe wawili,wakifika watano tu utasikia UDINI.
We acha kuongea kam
a umefufuka.! Aman
ya nch hii ipo mikono
n mwetu,lakin cha aja
bu zaid waislam tuki
uwa kwa ajil ya mung
u tunalipwa na tukiu
wawa tunalipwa.
(win-win principle)
JE NYINY MNAWEZA???
Naamini hujanielewa nilichotaka kuwakilisha.....Nimesema kama waislam wanapewa nafasi zote kwa sifa na vigezo,mimi sina matatizo na hilo,nitakupa mfano,Mwl.Ame wa UDOM,alinifundisha wkt nikiwa UDSM,ni katika walimu bora kabisa,na sikushangaa niliposikia kapewa shavu pale UDOM....Kimsingi silalamiki kwa nini waislam wamepewa nafasi,hata angekua mkristo ambaye hana sifa then ukampa nafasi asiyo stahili,ningelalamika,kwa kuwa sivyo inavyotakiwa.
CHAI UMEKUNYWA MKUU....karibu tupate gahawa!!
wakiristo mna roho mbaya sana ila haitusumbui kwani Quran inasema ''kamwe hawatoridhika mayahudi na wakiristo mpaka mfuate mila zao'' kwa wale wasiofahamu udom ina takriban wanafunzi 20,000 ambapo 17,000 ni wakiristo na 3,000 ni waislamu, administrative staffs wako 320 ambapo wakiristo ni takriban 238 na waislam ni 82 kwa upande wa malecturer wako takriban 500 ambapo wakiristo ni zaidi ya asilimia 70. Sasa sijui kupendelewa kwa waislamu kunatoka wapi? Pia udom ina college 5 na zote zinaongozwa na wakiristo(principles). Hapa utakuja kugundua kwamba kelele zote ni kwasababu kuna baadhi vyeo vya juu vinashikwa na waislamu? Yoyote anaweza utafiti na atagundua watu wanaropoka tu. Acheni hatutafika.
wakiristo mna roho mbaya sana ila haitusumbui kwani Quran inasema ''kamwe hawatoridhika mayahudi na wakiristo mpaka mfuate mila zao'' kwa wale wasiofahamu udom ina takriban wanafunzi 20,000 ambapo 17,000 ni wakiristo na 3,000 ni waislamu, administrative staffs wako 320 ambapo wakiristo ni takriban 238 na waislam ni 82 kwa upande wa malecturer wako takriban 500 ambapo wakiristo ni zaidi ya asilimia 70. Sasa sijui kupendelewa kwa waislamu kunatoka wapi? Pia udom ina college 5 na zote zinaongozwa na wakiristo(principles). Hapa utakuja kugundua kwamba kelele zote ni kwasababu kuna baadhi vyeo vya juu vinashikwa na waislamu? Yoyote anaweza utafiti na atagundua watu wanaropoka tu. Acheni hatutafika.