Badala ya kusoma wao wanaendekeza mambo ya ujinga ujinga,mtihani ikija ni MAZOMBI matupu kwenye paper,matokeo yakitoka mara hoo turudie mtihani,mara hoo matokeo ya moko ndiyo yatumike,mara hoo mitihani isahiishwe upya,mara hoo tunaandamana kudai matokeo mazuri,mara hoo matokeo yamechakachuliwa.Someni vijana acheni mambo ya kipuuzi.