Udogo wa daraja la mto mzinga ambalo ni kiunganishi muhimu kwa wilaya ya temeke na mkuranga, vipi mamlaka zetu hazioni?

Udogo wa daraja la mto mzinga ambalo ni kiunganishi muhimu kwa wilaya ya temeke na mkuranga, vipi mamlaka zetu hazioni?

Joined
Sep 22, 2017
Posts
9
Reaction score
2
Wakuu leo nadhani ni siku yangu nyingine kutumia gharama kubwa kutoka mbagala rangi tatu hadi mzinga.

Kiukweli kuna namna naona serikali inachukulia poa hili jambo.

Ni serikali ambayo imesupport wilaya ya mkuranga kuwa na viwanda vingi bila kurekebisha miundo mbinu.

Ni ombi langu hili litawafikia na kufanyiwa kazi.
 
IMG_20241211_204858.jpg
 
Nyie
Wakuu leo nadhani ni siku yangu nyingine kutumia gharama kubwa kutoka mbagala rangi tatu hadi mzinga.

Kiukweli kuna namna naona serikali inachukulia poa hili jambo.

Ni serikali ambayo imesupport wilaya ya mkuranga kuwa na viwanda vingi bila kurekebisha miundo mbinu.

Ni ombi langu hili litawafikia na kufanyiwa kazi.
Nyie mnatia huruma, sasa nyie mpewe nini mbadilike MMMBUNGE WENU NDIO WAZIRI WA UJENZI,NA KWAKWE NI MLAMLENI TU NA ANATUMIA HIYO NJIA AKIENDA KWAKE WAKATI WA KUOMBA KURA JAPOKUWA KWA SASA ATAKUWA ANAISHI OSTERBAY/MIKOCHENI/MBWENI
 
M

Mzinga huo utakuwa
Mzinga wa wapi, maana mto mzinga unapita kila sehemu. Kitunda mwanagati mto mzinga upo, Kivule mto mzinga upo, tambani mbande upo, kitunda magole mto mzinga upo, buza kwa mpalange mto mzinga upo.

Je huo ni mzinga wa wapi ?
 
Mzinga wa wapi, maana mto mzinga unapita kila sehemu. Kitunda mwanagati mto mzinga upo, Kivule mto mzinga upo, tambani mbande upo, kitunda magole mto mzinga upo, buza kwa mpalange mto mzinga upo.

Je huo ni mzinga wa wapi ?
Mzinga ya mbagala kama unaenda kongowe
 
Wakuu leo nadhani ni siku yangu nyingine kutumia gharama kubwa kutoka mbagala rangi tatu hadi mzinga.

Kiukweli kuna namna naona serikali inachukulia poa hili jambo.

Ni serikali ambayo imesupport wilaya ya mkuranga kuwa na viwanda vingi bila kurekebisha miundo mbinu.

Ni ombi langu hili litawafikia na kufanyiwa kazi.
Tumekamilisha mikakati kazi ingeanza isipokuwa kama unavyoona mvua zinazoendelea nchini zimeharibu mikakati, hata hivyo tunaifanyia kazi kwani imefikia asilimia 82.59099.
 
HIYO NJIA NI KICHEFU CHEFU WAKUBWA HAWAONI ILA HAPA NI CHECHE SANA.

UNAWEZA KUKAA MASAA MANNE HAPO.
 
Kimsingi barabara ya kilwa inatakiwa ifumuliwe yote,zitwngenezwe two lane,hadi kisemvule..mana kwa sasa eneo hilo ndio linaongoza kwa ukuaji na ogezeko la watu.
 
Back
Top Bottom