Udom----announcement for second and third year students

Imefikia mahari ambapo Wanazuoni na wakereketwa wa Elimu Tanzania waingilie kati kuhusu mambo yanayotendeka UDOM! Itafikia mahari mpaka watu wataogopa kujitambulisha kuwa wanaso/kufanyakazi UDOM! Kwa kweli mambo ya kihuni yamezidi! Prof. Kikula elimu yako bado ina uhalali kweli?! Mh. B. Mkapa kwanini mnakubaliana na aibu hizi UDOM!? Au mmzeeka!? Sitaki kuamini kama haya ni maamuzi ya Wasomi!
 
Bora ingekua siasa tu Udini umezidi uliza GPA za wakristo wanavyoset.Kama jina lako halina element ya Kiisilamu maisha UDOM utayachukia!

badili chuo ukasome MUM ndo wamejaa mashekhe wakupe digrii ya bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…