Jamani wadau,,nimechaguliwa udom bachelor of education in guidance and couceling. Lakini nimekosa kabisa mkopo toka loan board. Nasikia huwa kunakuwa na ku appeal bodi. Naombeni mwenye kujua process za ku appeal anisaidie. Ntaanzaje?
hata mm nimechaguliwa bed guco,ila jins me navyojua kuappel n baada ya kufika chuon hz nafas ndo zinatoka,ila ucjal kaka ndo maisha,2kutane oct 12 colleg ya education
hata mm nimechaguliwa bed guco,ila jins me navyojua kuappel n baada ya kufika chuon hz nafas ndo zinatoka,ila ucjal kaka ndo maisha,2kutane oct 12 colleg ya education