Salaam kwenu waungwana
Nina mdogo wangu anasoma hapo UDOM, Ila cha kushangaza dogo analalama hadi sasa bado hawajapewa hela ya kujikimu huko mafunzoni, kuna tatizo gani kwa nchi yetu kutokujali wasomi? ninapata shida sana kwamba hawa wakimaliza itakuwaje maana nchi imeamua kuwapeleke vijana wa form six JESHINI kuwajengea uadilifu je watawala wenye madaraka ni waadilifu? Haya mnawafanyia hawa wenye elimu kiasi je wale wasio na elimu?
Kabla hujakifikiria kizazi kijacho Jitadhimini