MAPENZI UPOFU
Member
- Sep 5, 2012
- 10
- 1
Wana JF, nimeckia kuna watu wameshaanza kuitwa kwenye interview udom, naomba kujua ni watu wa post gani na ni lini labda wataanza kuita watu walioapply Academic posts coz mimi ni miongoni mwa watu waloomba T.A... naomba kupata taarifa kuhusu hzo post coz website yao iko down.
asanteni, naomba kuwasilisha hoja
asanteni, naomba kuwasilisha hoja