MAPENZI UPOFU
Member
- Sep 5, 2012
- 10
- 1
Wana JF, nimeckia kuna watu wameshaanza kuitwa kwenye interview udom, naomba kujua ni watu wa post gani na ni lini labda wataanza kuita watu walioapply Academic posts coz mimi ni miongoni mwa watu waloomba T.A... naomba kupata taarifa kuhusu hzo post coz website yao iko down.
asanteni, naomba kuwasilisha hoja
ndugu yangu ingekuwa vyema km ungebadilisha headin yako...
however wale walioitwa kuanzia alhamisi ijumaa na jumamosi wiki iliyopita walikuwa wataalum za kada zifuatazo:-
clinical officers &assistant medical officers --alhamisi e2012/11/1
medical officers. watu wa mabara ---ijumaa 2012/11/02
nurse officers n midwife --jumamosi 2012/11/03
so far wengine hawajaitwa bt let wait
all the best wanajf