Udom, education

ACTIVCT

Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
18
Reaction score
0
Jaman sikien na mtoe mawazo yenu, UDOM College of EDUCATION mwaka huu wamepunguza idadi ya udaili wa wanafunz wa degree kwa mwaka wa kwanza badala yake wameanzisha DIPLOMA Lengo nikomesha migomo, je hii njia sahihi ya kukomesha migomo UDOM Kwa kubana nafas kwa wanafunzi wanaojiunga na degree?.
 
<br />
<br />

tupe source mkuu.
 
Kwani hao wa diploma ndio wanaopenda kukandamizwa?
 
Boycotting a.k.a migomo ndo njia pekee ya kufikisha kilio cha wanafunzi panapohusika hata wangeweka certificate bado sio suluhu,hadhi yao inashuka zaidi
 
<br />
<br />
una uhakika kuwa lengo ni kukowesha migomo?? Mbona hata shule ya msingi wanagoma,diploma ndo hawajui haki zao?
 
<br />
<br />
Toa source, kama cjakosea Mkwawa university kuna dip je hawagomi? Pia udom informatics wana dip? Je hawagomi....Anyway migomo au njia mbalimbali za kudai haki zipo kuanzia hata primary sema huisikii sana kwenye vyombo vya habari kama ya vyuo vya elimu ya juu.
 
Its good idea kama watakuwa wameanzisha diploma kwani kuna upungufu mkubwa sana wa walimu wa shule za msingi. Kwa secondary tatizo bado lipo ila litakwisha baada ya miaka michache.
 
Its good idea kama watakuwa wameanzisha diploma kwani kuna upungufu mkubwa sana wa walimu wa shule za msingi. Kwa secondary tatizo bado lipo ila litakwisha baada ya miaka michache.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hao walimu wa diploma mbali ya kuziba pengo la upungufu wa walimu wa chekechea na primary, wataweza pia kusaidia kwenye shule za kata na university ya kata. Teh, teh, teh !!
 
Matokeo ya wanaoenda kusoma Diploma ya ualimu 2011/2012 yalishatoka na hakuna waliochaguliwa kwenda kusoma diploma UDOM sasa wewe unamaanisha nini? Au umeamua kuropoka ropoka tu kama kawaida yako? Tupe source faster!
 

Updates
Mkwawa kwa sasa hawana Dip.
 
wamepunguza au walioapply ni wachache mkuu?
 
unajua kuongea kitu ambacho auna uwakika nacho sio vizuri,naomba unipe chanzo cha habari uliyotoa,usiwe mlopokaji
 
we ulietoa toa hoja hii muongo kabisa na akili si nzuri.. Hivi hauoni faida ya diploma..unadhani wale wasiofika qualifications za kusoma degree wataenda wapi..na mtu anayeweza kusoma diploma basi lazima ataweza kujitetea kabisa...acha kuropoka..jipange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…