kwa wale wanachuo waliomaliza mwaka masomo 2011/2012 waliokuwa BED SCIENCE walikuwa wanadaiwa 1000000 kwa sababu HESLB ilileta hela pungufu. sasa cha ajabu ni kuwa wahasibu wa college ya education wanakulazimisha kuwapa hiyo pesa kati ya 800000 au 900000 huu ni wizi mkubwa udom.