udom huu ni wizi mkubwa

kasahunga

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
215
Reaction score
33
kwa wale wanachuo waliomaliza mwaka masomo 2011/2012 waliokuwa BED SCIENCE walikuwa wanadaiwa 1000000 kwa sababu HESLB ilileta hela pungufu. sasa cha ajabu ni kuwa wahasibu wa college ya education wanakulazimisha kuwapa hiyo pesa kati ya 800000 au 900000 huu ni wizi mkubwa udom.
 
Kwa hiyo unaleta malalamiko hapa jf ili tufanyaje?me nadhani ungepeleka hzi shida zako pale kwa mlacha ungesaidiwa..sio kila ujinga unaofanyika udom lazima uletwe hapa jf kama taarifa,sometime mnakishushia hadhi chuo chenu nyie wenyewe.
 
Sasa mkuu, humu nani atakusaidia? Au ulikua unatupa taarifa?
 
Nenda utawala mkuu katoe taarifa kwa prof Kikula sio unakuja apa kuropokaropoka hakuna atakae kusaidia
 
Mkuu,kama wahasibu wanaomba rushwa ili wawasamehe hilo den waandalie mtego,nenda PCCB watakushaur namna ya kufanya
 
Mi mwenyewe nipo UDOM-COED.Wale wahasibu ni watu wanaweza kuyafanya haya,watengenezee mtego watanaswa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…