udom inanitesa jamani.

Poleeeee, chuo kikubwa!! Usishangae.... Changamka, uliza watu unaowaonaa!

Mm nilifka hapo mwaka jana kuamza Masters, niliulizaaa !!!!! Chuo ni kikubwa sanaaaaaa..... Ni mji huo aiseeee!!!!
 
wewe inaonyesha bado utaratibu ujaufahamu kwani uko college gani?
 
wewe inaonyesha bado utaratibu ujaufahamu kwani uko college gani?

natural science kozi ya bsc with education natatizo nikwamba kwenye profile yangu pamoja na taarifa za bodi ya mkopo vinaonyesha kuwa nimepangiwa udom lakini kwenye list ya majina iliyotolewa na chuo kwenye web yao jina langu halionekani kwenye batch zote.
 
Nanilipofika chuoni kwenye mbao za matangazo yalikuwa yamebandikwa majina ya waliopata mkopo na tulitakiwa kuangalia sirio namba pamoja na page namba na jina langu lipo na nimepewa asilimia mia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…