Udom inanusurika kuungua

Udom inanusurika kuungua

Ulamaa Hemed

Senior Member
Joined
Sep 21, 2012
Posts
159
Reaction score
16
Chuo kikuu cha dodoma kinanusurika kuungua baada ya nguzo ya umeme kuanguka ktk school ya humanities na kuwaka moto, hali hiyo imesababisha baadhi ya wanafunzi kuumia na wengine kuzimia hali hiyo imetokea saa sita na nusu usiku
 
Nadhani Mtoa taarifa alikuwa anatuma kama vile anatoa taarifa kwenye TV au Radio live .LOL
 
Chuo kikuu cha dodoma kinanusurika kuungua baada ya nguzo ya umeme kuanguka ktk school ya humanities na kuwaka moto, hali hiyo imesababisha baadhi ya wanafunzi kuumia na wengine kuzimia hali hiyo imetokea saa sita na nusu usiku
ccm wapo kwenye mchakato msiogope.
 
Ungesema nguzo ya umeme yaungua saa nane usiku udom na sio udom yanusurika kuungua umelikuza sana tukio
 
Ndio wasomi wetu hawa!! Je hali ikibadilika halafu kikaungua? Heading itakuwa Udom hakijanusurika kuungua??? Hivi tatizo la mitaala lipo hadi university?
 
Hata kuripoti tukio nayo shughuri jamani? kwanini usiitaje nguzo tu kuwaka moto ama ndo kutia kapilipili njomba?
 
Ndio wasomi wetu hawa!! Je hali ikibadilika halafu kikaungua? Heading itakuwa Udom hakijanusurika kuungua??? Hivi tatizo la mitaala lipo hadi university?

Hili tatizo lipo udom tu
Chuo cha kata...
 
Arafu humanities sindio watu wakiswahil mpo?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
wakati na post hii status bado tukio lilikuwa linaendelea

''ninavunja glass''
Huwa hakuna kuendelea kwa matukio kama kunusurika. Kama jengo halikuungua moto mara baada ya kuanguka kwa nguzo, hiyo inamaanisha kua jengo limekwisha nusurika.
 
Back
Top Bottom