UDOM kuandamana kwenda Bungeni

IS IT RIGHT

  • WHY

    Votes: 1 100.0%
  • WHAT TO DO

    Votes: 1 100.0%

  • Total voters
    1
Mijitu form six inafeli inakwenda chuo cha kata halafu inataka kupata privilidge kama vipanga wa UD. Leteni ugoko hizo MP wafanye mazoezi nyambaff
Mungu kakujaalia p*mbu kubwa ila kakunyima akili.Kwana waliilazimisha serikali kuwachagua?Ok tu-assume wanafunzi wa UDOM walifeli 4m6,so kama walifeli ndio hawana haki ya kufanya field?we lazima utakuwa mwehu...
 
Miaka 4 is nothing, umeongea mapumba mjomba.Wenzako miez 2 wanafanya mambo ya msingi. Ninamashaka hata ktk malez ya watoto wako.
Chuo cha kata, msaada wa ccm, jivueni magamba!
 
Nashindwa kuelewa ni kwanini mtu akileta hoja ya UDOM hata kama ni ya msingi ni lazima atapingwa vikali
 
Poa mkuu, jitahidi muende wengi tena toka college zote mkiwa na sauti moja mtafanikiwa. UMOJA NI NGUVU!
 
Wewe umesoma chuo gan?Na unanini cha ziada ambacho mwanafunzi wa udom hana?acha pumba we kizee kaoge ulale
Punguza jazba,hapa utajaa upepo sana,mwishowe kesho ushndwe kugoma,tafuteni support huko udom hapa jukwaani BIG NO!
 
Mijitu form six inafeli inakwenda chuo cha kata halafu inataka kupata privilidge kama vipanga wa UD. Leteni ugoko hizo MP wafanye mazoezi nyambaff
ndugu yangu usiwe na dharau ka za mwanamke wa pwani,tofauti ya UD na UDOM ni kwamba UD wanachukua wanafunz wenye div 1 tu kwa course zenye competition,wakat UDOM wanachukua mpaka wenye div 2,sio kweli kwamba UDOM wanachukua failures,rekebisha post,hakuna chuo cha govt kinachodahili watu ambao hawana qualifications za kusoma degree,unless una-apply 4 diploma or certificate.
 
Yaan hilo jitu bado linamambo ya kizamani ya kujiona superior kwa kusoma chuo fulan,hayo mambo ya kusoma cjui udsm ndo kujiona uko bora yamepitwa na wakati wangapi wamemaliza UD na tunawaona mtaan wanazunguka na vyeti?
 
Hakuna haja ya kumtukana huyo mjomba eti ansema wanafunzi wa udom walifeli form six then wanaenda chuo cha kata halafu tunataka priviledge.Asione kwamba kusoma UD ndio the ultimatum,hivi ungekuwa unasoma University of Jorbug South africa ingekuwaje?Si ndio ungewakana watanzania na utanzania wako.Kwa kifupi acha adharau, Intellectuallism sio kusoma UDSM.Mind your manners
 
Masikini....hivi hamuwezi kutumia mbinu zingine tofauti na maandamano.Mnahaki ya kwenda field lakini sio kila kakitu muandamano! Mna hamu na kipondo sio
 
Yan mwanafunz ukifaulu afu ukapangwa udom me naona unaweza ukafa b4 cku zako hazjfka,kila cku huko ni matatzo.ila wajamen angalien mclete fujo mana hawa polce wa bongo cku hz wenyewe kuua kwao ni kaz rahc sana,so kuen makn ktk kudai haki yenu...otherwise nawatakia mafanikio ktk madai yenu.
 
Mkubwa angalia ktabu na maisha ni tofaut sana, ila nashukuru mungu umezaliwa bongo ungezaliwa mbele ingekuwa shda. Acha upuuzi
 
Vijana angalieni Bi Clinton atakuwa Dom j3 msije mkam-bugudhi
 
We jamaa utakuwa hujasoma unataja udsm coz unaickia unakurupuka umeshikiwa akili na mkeo halaf unakuj kuchangia.kajipange
 
..............Mimi ofisini kwangu aliwahi kuja mwanafunzi wa field............
Ni ile ofisi ndogo ya Lumumba au Makao Makuu Dodoma? Kwani wanaruhusiwa kufanya field kwenye ofisi za vyama vya siasa?
 
John marwa na Gagurito inaonekana cpu za vichwa vyenu hazifanyi kazi kwa leo,au ndo nyie Nnape anasema ccm imewatuma mkachafue kwenye mitandao ya kijamii. Suala la msingi ni Udom kuandamana,mnaposema bila sababu eti migomo yao huwa ni disorganised mnamaana gani? mgomo gani wameufanya ukawa hauna sababu za msingi?eti kwanini waende bungeni badala ya kwenda wizarani! Huyo waziri wa elimu kwasasa yuko wap? Lazima tuandamane ili serikali ijue kuwa hiki ni chuo kikuu na sio shule ya kata
 
Hawa madogo wajinga then migomo yao huwa hawajui kuipanga, ni watu wa kukurupuka sana! Ngoja wakachezee kichapo!
Nadhani kuna haja ya wanafunzi wa UDOM kuelimishwa zaidi. Mitaala ya chuo hua inapitishwa na vikao mbalimbali vya vyuo na kubarikiwa na TCU. Sasa kama mtaala hauna field practicals, basi ni jukumu lao kuanzia kule mtaala ulipotoka. Kwenda bungeni ni kuonyesha uwezo mdogo sana wa kuchambua na kupata ufumbuzi wa maswala makubwa. Wanasiasa nao, kwa kiwango hicho hicho watawatumia na kuwavuruga bila hata ya mkakati bayana ya wanachokitaka na kwa kweli ni UJINGA. Wanapaswa kujiridhisha kabla ya kukesha usiku na mijitu ambayo hata elimu yao inatia mashaka. Na hii ndio maana ya elimu ya juu
 
mwanafunz wa UDOM anaipata prospectus baada ya kuingia chuo
 
Kumbe haki zinapatikana bungeni, watz tuandamane tukalalamikie bei ya mafuta na foleni za bongo n.k.. Naomba Fidel na timu yako muandae bonge la bango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…