Udom kumtunuku jk na kawawa

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2010
Posts
3,832
Reaction score
635
Mkuu wa chuo Prof Kikula kasema baada ya wajumbe 30 wa seneti kukaa wata watunuku shahada ya heshima ya uzamivu a.k.a udaktari mh JK na marehemu Kawawa katika mahafali ya kwanza ya UDOM tar 26 nov 2010.
Mpo??????????
 
Mkuu wa chuo Prof Kikula kasema baada ya wajumbe 30 wa seneti kukaa wata watunuku shahada ya heshima ya uzamivu a.k.a udaktari mh JK na marehemu Kawawa katika mahafali ya kwanza ya UDOM tar 26 nov 2010.
Mpo??????????

Aaagh! Udom!aka Chuo Kikuu cha Kata, hata wakimpa u-profesa sawa tu, kumbe hapo UDOM waliochanganyikiwa sio wanafunzi tu, hata walimu wao vilevile tu.

Wanafunzi walianza na tamko last week, leo viongozi wa chuo chao wanatoa honorary PHD. anavyopenda misifa mheshimiwa mkwere basi atataka tumwite DOUBLE (PHD).
 
Kujipendekeza tu!!
Si mmwache akasome phd ili aipate ule wenyewe wenyewe.
 
Vilaza wa UDOM jiandaeni kuchakachuliwa akili.








Source: Uhuru
 
Mkuu wa chuo Prof Kikula kasema baada ya wajumbe 30 wa seneti kukaa wata watunuku shahada ya heshima ya uzamivu a.k.a udaktari mh JK na marehemu Kawawa katika mahafali ya kwanza ya UDOM tar 26 nov 2010.
Mpo??????????
Kuna mchele ulimwagikaga kipindi fulani na hili jina lilikuwemo. Ni mwingine au huyuhuyu?
 
kumbe udaktari hata marehemu wanapewa pia??????????????
 
Nini udaktari hata wakimpa U Nurse sawa tu maana hana jipya
 
MH ATAZIDUA ADI ACHOKE ILA AJUI TU KMA WATU WAMEMCHOKA HIV MMEMUONA SURA ILIVYOMSHUKA SAIZ?:laugh::laugh:
 
Vilaza wa UDOM jiandaeni kuchakachuliwa akili.

chuo cha CCM hicho lazima kilaza aende kwa vilaza wenzake






Source: Uhuru


chuo cha CCM na vilaza hicho lazima Kilaza akazindue chuo cha Vilaza wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…