KERO UDOM kuna mpango gani na overpayment zetu?

KERO UDOM kuna mpango gani na overpayment zetu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Udom wameingia mwaka mwingine wa masomo mwezi wa pili sasa huu unaingia lakini overpayment zetu bado hawajatupa. Na sasa tunaelekea kwenye graduation lakini kimya hamna mpango wowote wakutupa hizo fedha.

Udom msichojua ni kuwa baadhi yetu tunategemea izo fedha ili tufanye graduation tupeni na sisi tujiunge na wenzetu.​
 
Back
Top Bottom