UDOM kuna tatizo! Ndani ya mwaka mmoja wanafunzi 890 watimuliwa chuo, JK walijua hili?

ha ha ha ah aha , udom ni chuo cha kiislamu wanaolalamika wote ni wakristo jamani acheni kufanyakazi na hayo majini mtaumia bure labda kama mmesimama kiimani, vinginevyo ni kuumia.
wanaojituma kazi ndio wanaopigwa vita, nani asiyejua jinsi bi kidude anavyowapiga vita watu wanaoweza kazi??? kusaja ni mtumishi bora kuliko wote kwani mlacha hujui hilo? huyo stc ana kazi gani hapo ya maana kulipwa milioni mbili na zaidi, kuandaa mkutano wa council? Mnaua chuo kwa ujinga wenu, hapo mnasomesha watu kisha watakimbia? Idris fungua macho na uangalie haya mambo sio unakaliwa na mlacha kama goigoi. Mama sawasawa hajui kazi na waliowachapakazi anawachukia anakubali kuwa na mwanana asiyejua kitu. mwalimu wa shule ya msingi tangu lini akawa hr bora? stepping stone stepping stone. Mmemtoa lipili ambaye alikuwa anasaidia information mbalimbali mnamlipa mshahara wa bure hana kazi yoyote, je ameajiriwa kama mlinzi huko mkalama? maria ntui threat kwa stc mmemuondoa udom inafilisika na kufa.
 

Wewe una akili za maiti.Unaropoka tu kwa mambo na vitu usivyovijua!.UDOM PAMECHAFUKA PANANUKA NA KAMA WEWE NI MCHUMIA TUMBO HAPO KWA KUWABEZA WANAFUNZ NA WAEANYAKAZI WANAONYANYASWA UDOM BASI WEWE NI KILAZA HATA KAMA WEWE NI STAFF WA UDOM NA TENA HUFAI KUITWA BINA DAMU BALI NI SHETANI MKUBWA.
 
Kaaaaaaaaaaazi kweli kweli, UDOM hata product zao si nzuri kwa kila fani, kuna waajiri hawataki hata kuwaona, na hio yote inachngiwa na utawala mbovu wa chuo.
 

Well noted
 
Mie nimeenda pale mashangaa chakula 4,500/= kwa hela gani na wanafunzi wapo kimya mnatarajia nn sie kwetu twala kwa buku tu.
Usitake kudanganya watu humu, ingekuwa chakula 4500 kuna mwanafunzi angesoma pale?
 
kuna albino mmoja nae amekua tatizo udom, anaitwa aziza.... kila madaraka anayo yy. cjawahi ona ustaarabu wa kugongea wanafunzi usiku wamelala eti unafanya inspection. udom ts not da place to be ni kero tupu
 


kwenye zambarau hapo haya maneno kama siyo ya shabaani mlacha mwenyewe sijui,hapo chini kwenye red ni livingstone lusinde huyu!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…