nakipenda sana chuo changu udom,nakitakia mafanikio kwaharaka kama udsm,lakini mafanikio yake yatachelewa sababu yawatendaji wabovu nawasio wajibika...hapa nataka niwaseme watendaji nawahasibu walio takiwa kuturudishia hela zetu zamajoho(elfu20),nawapiga picha zavideo za graduation 2012/2013 vp mbona kimya hadi sasa hamjatulidishia hela wala kututumia dvd zetu mnataka kutudhurumu pesa yetu?kwenye graduu mlikua wakali kama nini kuchukua video nahela zamajoho!acheni kukiangusha chuo chetu bhana ninyi wachache,tupeni pesa zetu na dvd zetu!