Udom madudu....udom madudu........!!!

Udom madudu....udom madudu........!!!

BIG MERCHANT

New Member
Joined
Sep 17, 2012
Posts
4
Reaction score
1
Ivi punde mepokea taarifa kwa wadau kuwa wamesha riliz matokeo, lakin cha ajabu matokeo ya 2nd semester yamekuja na koz tano badala ya nane na GPA wamesha weka, sasa nafanyaje wadau, miwananichanganya nyama hawaaa
 
sasa madudu yako wapi,ni swala la kuuliza hizo course nyigine kwa nini hawajaweka,unakuwa kama hujaelimika .........
 
Ivi punde mepokea taarifa kwa wadau kuwa wamesha riliz matokeo, lakin cha ajabu matokeo ya 2nd semester yamekuja na koz tano badala ya nane na GPA wamesha weka, sasa nafanyaje wadau, miwananichanganya nyama hawaaa
kichwa cha habari hakiendani na ulichokiandika ndani,,jipange
 
Hayo matokeo wameweka wap kwanza wdngne mbona 2nafungua ac zetu hakuna hata xomo 1
 
Back
Top Bottom