UDOM ni wasanii waliobobea kwenye sanaa, niliwambia kuwa kuna baadhi ya watu walishafanya interview ile kabla ya siku ile, na msimamizi aliwataka kama wapo kwenye chumba cha mtiani a.k.a interview basi wasirudie tena kufanya. APO JUMLISHA MWENYEWE UKIPATA JIBU PIGIA MSTARI