Udom na kimbunga kipya.

Johnson Alex Otieno

Senior Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
172
Reaction score
57
Ndg zangu ni aibu sana kwa UDOM kutota2a matatizo ya wanafunzi wake,2nahtaji kupata wataalamu wenye vigezo na uzalendo waku2mikia Tanzania.Kwa hli la BED PPM mwaka wa pili na watatu kutopewa taarifa juu ya upatikanaji wa fedha zao za kujikimu mnawambia nini watanzania hasa wanaotegemea HESLB kuwasaidia kusoma? UDOM hebu toeni taarifa kwa wanafunzi wenu 2mechoka kuwakopesha hao ndg zenu,wapeni boom lao walpe madeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…