Wengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!!
Naomba wana JF wenzangu tuelewane kuwa UDOM ni chuo kikuu cha serikali kama vilivyo vyuo vingine vikuu vya serikali. Juu ya mitazamo na itikadi za wanachuo zipo tofauti. Kila chuo kuna wana CCM, CHADEMA au chama chochote cha siasa.
NAJIVUNIA KUWA MWANAFUNZI WA UDOM nimezipokea changamoto na kuzikabili.
Wengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!!
Naomba wana JF wenzangu tuelewane kuwa UDOM ni chuo kikuu cha serikali kama vilivyo vyuo vingine vikuu vya serikali. Juu ya mitazamo na itikadi za wanachuo zipo tofauti. Kila chuo kuna wana CCM, CHADEMA au chama chochote cha siasa.
NAJIVUNIA KUWA MWANAFUNZI WA UDOM nimezipokea changamoto na kuzikabili.
One may be surprised if you deny that of all the higher learning institutions UDOM is the only one with which CCM is happy with! Taratibu wanafunzi watajua watakapotambua kwamba kusoma hapo si privilege ya ccm bali ni haki yao inayotokana na kodi za watanzania walipa kodi na si wale wakwepa kodi walojazana kwenye green party!
udom vilaza mnakubali kusaliti nchi yenu kwa sababu ya uccm
mungu atawaukumu na elimu yenu ya kuwapika kama chapati
Tatizo nini sasaWengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!! Naomba wana JF wenzangu tuelewane kuwa UDOM ni chuo kikuu cha serikali kama vilivyo vyuo vingine vikuu vya serikali. Juu ya mitazamo na itikadi za wanachuo zipo tofauti. Kila chuo kuna wana CCM, CHADEMA au chama chochote cha siasa. NAJIVUNIA KUWA MWANAFUNZI WA UDOM nimezipokea changamoto na kuzikabili.
Wengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!!
Naomba wana JF wenzangu tuelewane kuwa UDOM ni chuo kikuu cha serikali kama vilivyo vyuo vingine vikuu vya serikali. Juu ya mitazamo na itikadi za wanachuo zipo tofauti. Kila chuo kuna wana CCM, CHADEMA au chama chochote cha siasa.
NAJIVUNIA KUWA MWANAFUNZI WA UDOM nimezipokea changamoto na kuzikabili.
Wengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!!
Naomba wana JF wenzangu tuelewane kuwa UDOM ni chuo kikuu cha serikali kama vilivyo vyuo vingine vikuu vya serikali. Juu ya mitazamo na itikadi za wanachuo zipo tofauti. Kila chuo kuna wana CCM, CHADEMA au chama chochote cha siasa.
NAJIVUNIA KUWA MWANAFUNZI WA UDOM nimezipokea changamoto na kuzikabili.