Ndg nakutakia mwanzo mzuri wa mitihani yako utakayoianza leo na mwisho mzuri pia,upako wa Alfa ukaanze na kudumu nawe mpaka pale upako wa Omega utakapokupokea na kwenda kumaliza nawe.
Damu ya Yesu naiachilia juu yako ikakulinde katika Roho,Mwili na Nafsi na Roho Saba za Mungu ziwe nawe daima zikikutendea yale uyaombayo mbele ya Kiti Cha Rehema aketipo Mtakatifu wa Watakatifu.
Yesu Kristo Akutangulie
Damu ya Yesu naiachilia juu yako ikakulinde katika Roho,Mwili na Nafsi na Roho Saba za Mungu ziwe nawe daima zikikutendea yale uyaombayo mbele ya Kiti Cha Rehema aketipo Mtakatifu wa Watakatifu.
Yesu Kristo Akutangulie