Udom posts selection hakuna vimemo.... Udsm watemwa!!!!

mleta thread hii umefanikiwa ktk lengo lako, maana nyavu imekamata waliotakiwa na wasiotakiwa
 

Hukutumia kimemo wewe?
 

mbaazi ukikosa maua husingizia jua, maneno ya mkosaji, kilio cha samaki, hakina machozi machozi juenda na maji..........
 
kweli bado sana,watanzania hatujaelimika.hivi watu mmesoma lakini bado mnaubiri ushabiki wa vyuo?.mi ata GPA za Tz hazinisumbui,jambo la msingi ni uwezo wa mtu husika
 
Ok tuachane na hayo, hayana mashiko, tuache kubaguana,posti zingine kama wahasibu n.k nao wanaitwa lini, manake naona wanaitwa wengine tu au tayari nao walishaiwa kitambo,manake nikiingia kwenye website yao sioni chochote, kimya tu
 
Ni matatizo ya esteem tuu kwa wale nje ya UD wana kahasira kwa kukosa(rejection) na UD km kawaida yao huwa wanajisikia wao ndio chuo....Na mbaya zaidi hadi leo wanaamini hivyo. Ni kitabia cha UD hata kati yao wenyewe.Na hata watokao UD wakipata nafasi(zamani walipokuwa km standard) walikuwa wanapeleka culture yao.Msihofu dunia ya ubunifu na utendaji somewhere uwezo binafsi utajipambanua.
 


Mkuu umejibu vizuri ingawa naona una kahasira fulani hivi!
 
au wanaogopa wataweka kunji wakicheleweshewa mishaara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…