MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,607
am sorry mkuu but u have no idea about udom is all about siasa na udini
Lakini wahitimu mnaowabeza humu wamepita mikononi mwa wahadhiri ambao wengi wao wamesoma katika hivyo vyuo mnavyoita bora kuliko vingine, tatizo litakuwa wapi???!!!!
!
!
ila nadhani kwa majengo mko poa tu sana, ngoma gorofani halmashaurini mwa wahitimu wake dah dah dah dah nadhani dhana ya vyuo vya kata ilizaliwa hapa.
Kijana hatuko hapa ili kudanganya bali kujadili mada iliyoletwa jamvini.Km kuna kitu hakiko sawa unaweza kuni-criticize na sio kunisingizia uongo. Au unadhani chuo kuanza 2007 haiwezekani watu wakawa wanasoma PhD sasa hivi??!!Hujui hata kudanganya kaka
Udom intake ya kwanza tumeingia 2007 kabla hata haijajengwa
we ndo b oya kabisa nan kakwambia chuo kikuu wanafundisha jinsi ya kuandika barua:typing:
Kaka ulisoma udom? Au umetumwa kukitetea hata kinapo onekana kutoenda sawa? Mimi nimesoma pale udom tena education Ninacho kisema ni kitu cha kujionea sio wewe unae ambiwa!! Udom pia ina udini, u chama na ukabila kama ulikuwa hujui fanya utafiti. Kwa sasa udini umepanda pale kama bei ya luku. Pia ukabila uko juu kama mfumuko wa bei. Nyumba usio lala hujui yaliyomo, uliza wanao soma pale utapata majibu. Sio kutetea upuuzi. Ungejua pesa za watanzania nyingi zimepotea kujenga udom! Hadi sasa bajeti ya udom haijawahi kusomwa bungeni kuwa ni trion ngapi, watu wanakiharibu wewe unakuja kuweka siasa hapa! Acha utoto ndugu kuwa mzarendo!
You have a good idea but do this government of outs know that. Even those profs and docts the got their certificate just by appreciation to be a students from were they got those qualities.
MLETA maada unawazo zuri lakini wazo lako limekosa ushahidi/research ya kisomi. Chuo kikuu cha Dodoma ni kweli kimekusanya watu wenye elimu ya kiwango cha juu sana na wenye upeo wa hali ya juu katika kutizama mambo kwa upana wake na urefu. Wapo ma Professer, madoctor, maphd holders,n.k na hawa wote wanashiriki kwa nafasi zao katika kuzungumzia mambo mbalimbali inayohusu taifa letu kwa ujumla. Wanatoa maoni yao sehemu mbalimbali ikiwemo Makongamano, warsha,seminars, vyombo vya habari vingi tu vyakutosha Tanzania. Sasa wewe kama huwasikii ni bora ungejisemea nafsi yako kuliko kufanya inference without any scientific research for your argument. Unaporukia kwenye conclusion bila research ni dalili pia za kuonyesha wewe ni msomi/uelewana wako ni wa aina gani. Dhana ya Dodoma University kuwa chuo cha kata ni dhana ambayo wengi mnaimba kila siku bila kujua what are you saying. Kwakuwa hata nikikuhoji ni nini kinaifanya Udom kuwa chuo cha kata na ili chuo kiwe cha kata kina sifa gani wengi hamna majibu zaidi ya kurukaruka kama mmekanyaga siafu. DHANA ya kuwa Udom ni chuo cha kata imejengwa na watu wenye akili zao hasa kwa malengo ya kupotosha wasiochukua muda wao kufikiria yasemwayo hasa vijana wanaohitimu A level na collegus mbalimbali na wanaoitaji kujiunga na elimu ya juu. Lengo ni kutengeneza soko la vyuo vyao ambavyo kimsingi kusoma katika vyuo hivyo hata ukiwa 100% ya mkopo still maisha yako kama mwanafunzi yatakuwa tofauti na mwanafunzi wa udom. Hii ni kwasababu hasa ya miundombinu mizuri iliyopo chuo kikuu cha Dodoma. Pia intake ya chuo kile kwa taarifa tu kikikamilika uzuri per year kinaweza kupokea wanafunzi elfu kumi natano 15000 na chuo kizima kuwa na jumla ya wanafunzi elfu arubaini (40000) wote wakiwa wanapata kila mmoja malazi palepale. Takwimu hii ni hatari sana kwa ustawi wa vyuo vingine hasa vya private kwani kuna uwezekana wanao apply wasiombe kabisa vyuo hivyo. Mimi hii kwangu ni hoja dhaifu kwani Tcu kwa sasa andio taasisi inayowajibika kupangia vyuo wanafunzi na sio matakwa pekee ya wanafunzi. Kifupi chuo kile kama hujuma hazitoendelea kufanyika ili kisifanikiwe malengo yake few years ahead kitakuwa si kuwa ni bora tu Tanzania bali na Afrika kwa ujumla. Kuna hujuma nyingi sana nazijua kinafanyiwa UDOM lakini leo nadhani itatosha. Nawakumbusha tu kwamba Udom before 2015 Hospitali bora zaidi ya muhimbili itakuwa imefunguliwa ndani ya chuo hicho. Magonjwa yanayotibiwa India km Moyo yatatolewa huduma zako chuo kikuu cha dodoma. Nalo hili lina maelezo yake yanayopelekea kupakwa matope yasiostahili.
Hivi wana janvi kwanini chuo kikuu cha Dodoma huwa wahadhiri wake hawatoi maoni kuhusu mambo mbali mbali yanayotokea kwenye jamii?. Kuna maprofesa wengi, madokta wengi na hata wenye masters wengi pia. Je matatizo haya hawa yaoni? Au wanamuogopa Mlacha atawatimua kazi? Au ndio chuo cha kata? Kumbukeni Nyerere alisha sema [/color=red]"chuo kikuu kinacho zalisha watu wasio hoji hakifai kuitwa chuo kikuu bora kikafungwa"[/color]!!
uko sahihi. Pia kuna machine za kisasa za kusafisha figo zipo pale zinafanya kazi , ni costfully sana, kiukweli nimehitimu Sua ila one day yes UDOM wako juu, tena kwa mda mfupi, changamoto ni mla.... .......hata pesa za majoho kazibana zilizostahili kurejeshwa kwa wahitimu waliograduates mwishoni mwa mwaka jana
!
!
samahani lakini,ila wawakilishi wenu huku mtaani ni majanga. Nilikuwa na demu wangu huko,na yeye duh kumkichwa ni sifuri ila nae kahitimu eti. Dah......hivi wanafundishaje pale!au mitihani hakuna imefutwa?mh
kwan na wewe ni mhitimu wa chuo kikuu mbona unaandika utumbo sana.
!
!
najua,ila nikiwa mwajili mhitimu wa udom nitamlinganisha form six au fresh mwenye cheti......hakuna kitu yani wahitimu wao,yupo mmoja napiga nae hapa. Huwa najiuliza alikuwa anafanya vipi assignment huyu?au research? halafu kafaulu,duh. Only in Tanzania