Mtasema xna kuhusu UDOM ila cc wanafunz ha2wajal,ila mnazid kukipa cfa 2,achen ushamba,% kumbwa ya wa2 wanaokiponda n wale ambao wamekosa nafas....
Kuna yule pimbi nduguye dhaifu...
mi nnachojua chuoni hakuna mtu wa kukuelekekeza ka mwanafunz wa primary....kama hao unaowajua walikuwa hawajishughulish lazima waonekane vilaza....hapo hutakiw kulaumu chuo wapaswa kumlaum huyo mwenye tatizo.....hivi ukiwa na wanafunz 1000 unategemea wote wawe wanaweza lazima kuna vilaza kama huyo ndugu na mkeo....kabla hujapost upumbavu tumia akili japo kidooooogo.
huyu demu wako ndo mbumbu huenda alikuwa anatumiwa na mkufunzi ili afauru mitihani lakini siyo wote wanamaliza pale wako hivyo
ivyo vyuo mnavyo visifia ..majanga tu ma lecturer wa udom wengine waliotoka mzumbe hawana maadili..na wanafundisha ovyo sana hamna jipya copy na kupaste vitiny tu na kutumezesha .wengine wameendekeza uzinzi ie hawana maadili eti wamesoma BAF...so is that what they were taught at mzumbe shame shame shame..wengine wa udsm ata lugha ni shida cv zina soma gpa za 4.0 with honours.....but to be honest wapo ma lecturer wengine very smart from these universities.
but very few.
Hawa jamaa wana akili sana hawawezi kuchanganya siasa na taaluma zao. maana sasa hiv mambo yote ya kijamii yanausiasasiasa tu hata kama hayahusiani na siasa lakin mtu atayafanya yawe ya kisiasa hii ni nonesence.
R u sure au unaongea sababu hujapiga mswaki asubuhi?
Kuna chuo kina siasa kama udom?
ahsante kwa taarifa, naona post yako haina nyama eleza kwa undani kama great thinker. sio unasema udini na siasa kisha unaondoka.mm nina rafiki zangu hapo nawafahamu vizuri hawana hayo mambo unayotaka kutuaminisha na niwatu talented.
so ingia deep kidogo mkuu 4Ws and 1H( who, why, where, what and How ).
Bwana NJALI wewe kama unasoma Udom mwenzako nimeisoma na ninaifahamu Udom nje ndani. Nafahamu kila utawala na vipi unaendeshwa. Ninajua Udom inahujumiwa vipi na juhudi gani zinafanywa na pr Idrisa Kikula na team yake. Ninajua kila collegu na nani principle wa collegu na mchango wake katika kukipeleka mbele chuo pia na kukirudisha nyuma chuo. Ok unasema Udom kuna udini sio? Mimi nakukubalia 100% lakini unieleza udini unaozungumzia wewe ni upi? Au unakusudia collegu zote kuwa na maprinciple wakristo ndio udini? Idadi yote ya wanafunzi wa Dodoma takribani 20000 kuwa nawaislamu wasiozidi elfu tano ndio udini unaokusudia ndugu? Oh may be unakusudia Udom kuwa na lecturers/tutorial Assistances/doctors na wafanya kazi wengine kwa ujumla takribani asilimia 80 wakristo ndio udini ndugu yangu? Hebu nieleze kuwepo kwa wasukumu wengi pale Udom wakifuatiwa na makabila kama wahaya, wachaga n.k ndio unasema ukabila? Ukanda unaousema wewe ni upi. Hebu njoo na data uongee nasi kisomi. Akhsante.
Kijana hatuko hapa ili kudanganya bali kujadili mada iliyoletwa jamvini.Km kuna kitu hakiko sawa unaweza kuni-criticize na sio kunisingizia uongo. Au unadhani chuo kuanza 2007 haiwezekani watu wakawa wanasoma PhD sasa hivi??!!
Salama
Umeamkaje?