Mimi sitaamini mapaka nithibitishiwe kwamba ni serikali ya wanachuo ndiyo wametoa taarifa hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Vinginevyo mbinu za ni genge la mafisadi katika jitihada za kutafuta jinsi ya ku-confuse jamii ili mipango yao ipite!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Safari hii ni mapambano tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!