Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

Wewe unaongea tu sababu una mdomo ambao hulipii kodi, sisi wahadhiri tunajua.
 
acheni malumbano yasiyo na msingi, anayetoka sua, udsm, mzumbe, saut, udom, nk , hatma yao ni moja, baada ya kusoma its to hve a job!,
if u conduct a research in different companies,, u will find that workers r nt frm the same university,,
haya mambo ya udsm, sua , udom ni michecheto 2 ya baadhi ya wanafunz wasiojiamini, asilimia 60% ya ujuzi wa mtu hautegemei amesoma wapi na amefundishwa na na nani ila ni jitihada anazoziweka binafsi katika kujifunza,"mwanafunzi wa open university anaye2mia muda mwingi nyumbani kuliko kukaa darasani na kufundishwa na mwalimu anaweza kuwa na uwezo mkubwa kuliko wewe uliye udom, sua na udsm,! ., muda wanao2mia kuandika utumbo wa kupambanisha vyuo na wanafunzi wake,,
wasome so tht they cn improve their expertise"
2jadili jinsi ya kuiboresha elimu tanzania na cyo kupambanisha ubora wa taasisi 2lizonazo!
 
Naona unawasiwasi na elimu yako ndo maana unaanzisha ligi ili kupata confidence kutoka kwa wengine, elimu yako ni yako na kwa faida ya familia yako,kama ni feki au original utajua unapofanya kazi iwe ya kuajiriwa au binafsi.Kijana BE SMART.
 
Haya bwana ila nahisi ndo yaleyale ila kwa vile uwezo ni wako basi ni vyema
 

asante kwa kutufahamisha kuwa uko udom.. Haikuhitaji maelezo mareeeeeeeeeefu @inferiority complex
 
Amakweli "mwanamke akipenda huwa anapenda kweli"
 
kaaz kweli kweli!! wasomi wetu mnajadili ukubwa wa chuo wingi wa lecturers na products! mi nlidhani mada nzuri ingekua khs mambo ambayo yanalisumbua taifa kwa sasa!!!! badilikeni na muwe post vitu vya msingi na sio huu ukumbafu!!!!!!!!
 

Wewe ni nani hapo UDOM, sidhani hata kama ni mwanafunzi wa University wewe, na kama ni mwanafunzi wa UDOM then you are yet another shame to UDOM, kama pamoja na kuandika maupuuzi yote haya hujui hata tofauti kati ya "lecture" na "lecturer" !? Mmmmh... Kuna haja ya kumleta Ndalichako hadi huko vyuoni
 
So you are also protraying a so called "compitition behaviour" by colouring your UDOM !?.. cul gat u braaaa.
 
Udom chuo cha kata, ndo maana vyuo vikitangaza nafasi za ututorial assist hazitaki wazembe toka udom hata una g.p.a ya5
 

Usijisifu,walimu wako si wametoka huko huko UDSM?kina Mvungi na wengineo si wametoka UDSM?
 

Well said!
 
Nmesoma vyuo vyote viwili, UDSM nlsoma barchelor na UDOM masters pale social, vyuo vyote vna matatzo yanayoendana na changamoto znazolandana. Ila kuhusu. Quality ya elimu, n. Ishu ya mtu mmoja mmoja, vyuo vyote n sawa! Ila management ya DU nliiacha iko strong kulko nloikuta udom labda n kwa. 7bu ya uchanga wake. Ila. Udom inahtaj kujfunza meng toka DU.
 
Nmesoma vyuo vyote viwili, UDSM nlsoma barchelor na UDOM masters pale social, vyuo vyote vna matatzo yanayoendana na changamoto znazolandana. Ila kuhusu. Quality ya elimu, n. Ishu ya mtu mmoja mmoja, vyuo vyote n sawa! Ila management ya DU nliiacha iko strong kulko nloikuta udom labda n kwa. 7bu ya uchanga wake. Ila. Udom inahtaj kujfunza meng toka DU.
 
Aise we ni lipopompo kweli wewe,na elimu yako naishuku!!can u even waste our time eti kucompare UDSM na UDOM?in which sense?ukubwa wa intake?!kama ukubwa wa intake ndo ubora wa elimu basi akina JITEGEMEE wangekuwa wanaongoza!acha uzuzu,ubora wa chuo ni standard ya elimu inayotolewa,output,ubora wa wahadhiri!UDSM iko top ten africa,let's talk about SUA na MZUMBE ambayo tushaona hata usmart wa output zao na sio UDOM ambao ubora wa wahitimu wake hata haujulikan zaid ya kuwa na intake kubwa,kuanzisha kozi za ajabu ambazo they not even applicable to our country! We need a good output na sio input kubwa!kama hujui "the perfect machine is measured in term of its output and not the input"! Kajipange acha SIASA!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ma-lecturer waliohamia UDOM kutoka UDSM karibu wote wameikimbia tena UDOM na kurudi UDSM, na wachache waliobaki wamefariki kwa stress. UDOM imebakia na maLecturer wapemba tu!
 
Kila uchao mnaanzisha mada ya kuzishindanisha UDOM na UDSM. Status ya UDSM hapa kwetu Tanzania au hata Afrika haiwezilinganishwa na kijichuo chenu "cha kata kwa sasa" UDOM. Tena mkome msitupotezee muda kuangalia upuuzi kama huu. Mi ningewaomba wana UDSM wenzangu tuwapuuzilie mbali hawa watoto waliomaliza majuzi. UDSM ni kubwa mno tena mjisikie aibu kufananisha CHUO KIKUU na taasisi (Institute not Universities) zenu za elimu ya juu kama UDOM. Inakera sana mtu kweli ana degree anakaa kucompare UDSM na taasisi za elimu ya juu hapa Tanzania. Roho inawakereketa sana likitajwa jina la UDSM na sio UDOM tu IFM,CBE,DIT,TIA, IAA na wengineo wote wanajaribu kuonesha wao wanasoma vizuri kuliko UDSM na haya mambo hayakuanza leo nakumbuka hata wakati ninasoma pale MLIMANI 2005 - 2008 maneno kama haya ya vilaza yalikuwepo. Shame on you, UDSM IS TOO BIIIIIIIIIIGGGGGGGG, full stop.
 
weweee kilaza. chuo chenu kinazalisha mafisadi wa Tanzania tu. hakuna jipya.
 
education is wahat remains after school-Albert Einstein..
be damned with your degrees zenyu kama hata toothpicks na vijiko twaagiza Guanghzhou na Shhuuuuu*** china..
kwaiyo hata msitulee huo ubishi wenu wa kisomi...sie huto tudegree hatuna..tulisomaga kwenye vivuli vya miti...
Embu tuambiane mambo jengefu....Aaarghhhhhh!
 

mm nafikiri mabishano ya chuo gani ni bora hayana sana tija kwetu, cha msingi tujue vyuo vyote vya Tanzania, baba na mama yao ni UDSM, maana asilimia 99.9 ya walimu wote wamesoma UDSM. La msingi tujadili utendaji kazi wa kila mhitimu bila kujali chuo anachotoka, hiyo ndiyo iwe detrminant factor, mengine nadhani ni ya msingi lakini ni urembo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…