Udom yainyima raha udsm, je kulikua na sababu ya haya yote? Jibu ni ndio.

Kushindanisha UDOM na UDSM ni kutokitendea haki UDSM. Baadhi ya waadhiri wengi wa UDOM ni product ya UDSM na bado UDOM haijaweza kuwa na wadhadhiri au maprofesa wa kusema wamesheheni kila idara. Wengi wa wahadhiri wake wana uzoefu chini ya miaka kumi. Ukihesabu wenye machapisho ya utafiti zaidi ya 10 ni wachache sana kwa UDOM. Kama tukiwa objective kwa Tanzania chuo cha kulinganisha na UDSM ni SUA, Muhimbili, Mzumbe na IFM. Na kwa mbali vyuo vya ST. Augustine na Tumaini. Lakini kwa kuangalia kozi wanazotoa kila chuo kinakuwa kizuri kwa aina ya kozi zake. SUA kilimo na kozi za wanyama mfano BVM, Mzumbe kwa kozi za uongozi, UDSM, kwa kozi za sheria, ualimu, uandisi, etc.
 

mtu mwenye masters unaandika ovyo namna hyo?i pity you..
 
Ma-lecturer waliohamia UDOM kutoka UDSM karibu wote wameikimbia tena UDOM na kurudi UDSM, na wachache waliobaki wamefariki kwa stress. UDOM imebakia na maLecturer wapemba tu!

Mmmmh' you are the best liar i have ever heard!
Mi nafikiri sio sahihi kulinganisha UDOM na UDSM kwa sasa.
UDOM ina umri wa miaka SABA sasa wakati UDSM ina miaka 52.Hivyo ukicompare products zao u won't be right at all!
UDOM ILIVYO SASA HIVI HAUWEZI KULINGANISHA NA UDSM YA 1968.
Kwa kigezo cha miaka UDOM IPO JUU ZAIDI KULIKO UDSM!
 
Udom ni chuo cha kata kina miaka hata kumi haijafika, udom huwezi hata kulinganisha na sebastian kolowa na eukenford
 
jamaa umeongea kwa ufupi ila ujumbe umefika
 
Udom ni chuo cha kata kina miaka hata kumi haijafika, udom huwezi hata kulinganisha na sebastian kolowa na eukenford

Unatema sumu sikuizi kaka, lakini tutakutana 2015 tuone kama chuo ni kigezo cha kuajiliwa..............
 
Mimi nasoma UDOM na ninaingia mwaka wa pili ni kweli kuna changamoto kwa baadhi ya course na ni changamoto za kawaida sana ambazo hata baadhi ya vyuo zipo. Lakini wengi wetu hapa mnaizungumzia UDOM ya 2007 na sio ya sasa, ni kweli kabisa UDOM hawezi kuwa sawa na UDSM lakini kwa course za Arts na Biashara Product za UDOM na UDSM zinaweza kuwa sawa kabisa hii itatokana na juhudi za mwanafunzi, kwa mfano mimi nasoma PSPA lakini kuna jamaa wa UDSM wana kimeo cha Government and Politics na nilikua nawafundisha namna ya kujibu maswali na walitulia tuliii. Ndugu zangu chuo kuwa bora itategemea na wewe juhudi zako katika kujielimisha zaidi.
Mwisho nawaomba kwa sisi ambao tunasoma tuwe wapole mpaka tumalize kisha tujue kama Chuo kitakua kigezo cha kupata ajila tena wengine nawajua ni mwaka wa pili nawaomba muwe wapole 2015 tukimaliza tutaulizana msaada wa vyuo vyetu uko wapi?
Natanguliza shukrani zangu.
 

Nimekutana na kijana mmoja anasoma shahada ya uhandisi katika koleji ya sayansi za dunia UDSM, jambo lililo nishangaza ni katika somo maalufu lijulikanalo kama Computer Aided Drafting ambalo hufundishwa kwa kutumia software maarufu ya AutoCAD ambayo kila mhandisi inapaswa aifahamu fika, lakini cha ajabu kijana huyo hafahamu ipasavyo somo hilo, hakuna chuo kisicho kua na changamoto hapa Tanzanian.
 
Maprofesa wa Tz feki, kigezo cha chuo kuwa na maprofe ni kwa uneducated person, alafu muelewe mtoa mada alichotaka kuwaambia, sio kulinganisha UD na UDOM bali heka heka za UD kwa miaka ijayo kwa sababu ya competition that is all.
 
Maprofesa wa Tz feki, kigezo cha chuo kuwa na maprofe ni kwa uneducated person, alafu muelewe mtoa mada alichotaka kuwaambia, sio kulinganisha UD na UDOM bali heka heka za UD kwa miaka ijayo kwa sababu ya competition that is all.
 
Mfumo wa elimu ni mbovu toka ukucha hadi unywele,elimu na uelewa havitokani na chuo alichosoma mtu nyie vilaza wote mnao shindanisha vyuo vyenu.
Elimu bora ipo nje ya mfumo wetu huu tulionao na ni kitu endelevu kipatikanacho kwa uwezo wako wa kujaribu na kukosea na kujifunza kutokana na kila kosa.
Endeleeni na ushamba wenu wa UDSM,UDOM,MZUMBE,SAUT na vinginevyo bila kubadilika na kutafuta maarifa kufuatana na mahitaji ya dunia hii ibadilikayo kila siku afu mwisho wa siku ndo mtajua kuwa jina la chuo kwenye cheti chako,grades nk havikusaidii kwenye safari yako under the law of the jungle.
 
Tunaomba matokeo ---- we pimbi..ya advance sio ya chuo coz najua chuo hicho gpa c kazi kupata
 
"org behaviour" stupid ww..jibu maswali yafuatayo
1:adv ulipata div ngp?
2:first choice uliomba chuo gani
3:cz gani umesoma?
4:ulitafakari kwa kina b4 hujatoa huu UVUNDO?
 
chuo chenye sifa ya wanafunzi wake wasio fanya field,wanaobaguliwa kwenye kuomba kazi,kweli kinastahili sifa.
 

Kha jukwaa hili Hamkui tu!!!"Haya ndio yale mambo ya wana ndugu kugombana marehemu akazikwe wapi wakati kokote atakapozikwa lazima AOZE"---"Kasome kokote we mwisho wa siku utatoka na ulichokipanda hapo ulipokua, chuo akikusaidii kitu" kama huna kitu utamaliza hauna kitu.
 
kama maprofesa wenyewe ndo hawa tunaowaona bungeni basi hata udsm haijatukomboa. Ila am proud kumaliza bachelor yangu udom mwaka huu na sasa ni mwajiliwa CRDB USA river branch arusha kwa kutumia tu provisional results zangu na kufanya vizuri kwenye interview
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…