Wana jf mwenye data atujuze kuhusu waliofanya oral interview wameshaitwa kazini?
wa2 washaaza kuitwa so endelea kutegea masikio.
Yakweli hayo au ndio unaleta utani wenu?
Nashukuru kwa taarifa wakuu. Ngoja niwe karibu na simu yangu.ya kweli mkuu Library Officers wameitwa jana.
Hivi ni fani zipi wameshaitwa ili tuendelee na mambo yetu. Nao wangetoa tu majina kwenye mtandao wao.watu wa fani mbalimbali wanaendelea kuitwa hata mimi kuna jamaa yangu alishaitwa
Tuwe tunapeana taarifa, mimi nilifanya interview ya nafasi ya Laboratory Engineer.watu wa fani mbalimbali wanaendelea kuitwa hata mimi kuna jamaa yangu alishaitwa
Wana jf mwenye data atujuze kuhusu waliofanya oral interview wameshaitwa kazini?
Jamani mwenye data kama UDOM wameshaita watu kwa nafasi zote?Jaman hata mimi nlfanya inter hapo toka december 15 mpaka leo,embu 2juzane akina nani wa kada zp wameitwa?
ya kweli mkuu Library Officers wameitwa jana.
Mawarden wanaitwa leo.
Mawarden wanaitwa leo.
Mawarden wanaitwa leo.