Acha upuuzi na fikra za kishenxi nani kakwaambia udom wanagawa mikopo vyuoni
Ukifeli zero au four vyuo vyote tanzania hupati na bodi hawakupi hela,wewe uliyeferi usishawishi wenzio walio na credit--kalia fitina wenye one na two zao wanaula boom!
nina one.pt12 -level na one.pt5-level yapcb,so ntake radhi na amin hilo lichuo nihovyo..udini maximu!nadogo anasoma full xtream sahizi pale kunashule kweli?acha upoyoyo......
nyie madogo mnaotaka kuomba vyuo mwaka huu kueni makini,hiki chuo chakata(UDOM) nibalaa,mikopo wanaiba sana,wenzangu namm nyumbani kweupe nakama mnacutt off pts nzuri ombeni tu vyuo vingine,hili lichuo hovyo kabisa,watu wengine hawajapew pesa hadi sasa nawanataka kuwadhulumu,mwenye masikio na asikie,nawasilisha.......!
Ukifeli zero au four vyuo vyote tanzania hupati na bodi hawakupi hela,wewe uliyeferi usishawishi wenzio walio na credit--kalia fitina wenye one na two zao wanaula boom!