Sasa kitu kichafu huenda kikaonekana si cha kuweza kupikwa, lakini ni kitu ambacho kinavutia katika maeneo mengi ya Afrika - hasa miongoni mwa akina mama wajawazito wanaohitaji virutubisho vilivyomo ndani ya udongo.
Nchini Tanzania kuna udongo maalum unaojulikana kwa jina la udongo wa pemba. Tulanana Bohela amesafiri hadi katika vilima vya vya Morogoro kujua udongo huo una ladha gani, lakini safari yake aliianzia katika soko maarufu la Kariakoo Dar Es Salaam
Wa Morogoro sio mzuri sana, jamani wa Mwanza is the best
Wa moro una particle kubwa kubwa hivyo risk ya apendix kubwa, afu nadhani unatoka karibu na vyanzo vya maji au kuna unyevu unyevu mwingi, unakuwa na algae au sijui nini kwa ndani, kama una vitu unateleza teleza hivi, afu mchachu kama una ndimu.
Ila wa Mwanza msafi, fine particles hauna uchavu full maziwa na siagi