Uchaguzi 2020 UDP yamuumbua Msajili, yasisitiza wao bado wanamuunga mkono Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 UDP yamuumbua Msajili, yasisitiza wao bado wanamuunga mkono Mgombea wa CCM

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Hivi karibuni Ofisi ya Msajili wa vyama ilivitetea Vyama vya TLP na UDP kuwa baada ya kuonywa vilisitisha mpango wao wa kumuunga mkono mgombea wa CCM kwa vile ni vyama sikivu.

"Kwa hiyo vyama hivyo ni sikivu, vile ambavyo siyo sikivu (CHADEMA na ACT-Wazalendo) tutavichukulia hatua.” alisema Sisty Nyahoza.

Leo John Cheyo kasisitiza bado wanamuunga mkono mgombea wa CCM. Msajili atatuambia nini, naona lengo lao la kutoa karipio kwa CHADEMA na ACT limebuma.

AF060BEF-BC15-4A6C-87A7-7C97052B57F4.jpeg
 
Unaweza kukuta ni mchezo unachezwa na msajili na hicho chama, kisha usikie wanasimamisha vyama vyote vinavyounga wagombea wa vyama vingine kushiriki uchaguzi.

Kumbuka hicho chama cha Cheyo hakiwezi kupata kiti chochote kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais kwenye uchaguzi huu. Rejea kuwa sasa hivi cdm wakipeleka malalamiko yao tume ya maadili hayapokelewi.
 
Unaweza kukuta ni mchezo unachezwa na msajili na hicho chama, kisha usikie wanasimamisha vyama vyote vinavyounga wagombea wa vyama vingine kushiriki uchaguzi. Kumbuka hicho chama cha Cheyo hakiwezi kupata kiti chochote kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais kwenye uchaguzi huu. Rejea kuwa sasa hivi cdm wakipeleka malalamiko yao tume ya maadili hayapokelewi.
Kila wanachopanga kinawaumbua.
 
Unaweza kukuta ni mchezo unachezwa na msajili na hicho chama, kisha usikie wanasimamisha vyama vyote vinavyounga wagombea wa vyama vingine kushiriki uchaguzi.

Kumbuka hicho chama cha Cheyo hakiwezi kupata kiti chochote kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais kwenye uchaguzi huu. Rejea kuwa sasa hivi cdm wakipeleka malalamiko yao tume ya maadili hayapokelewi.
Hili sio tishio na wala sio plan kwa sababu kama ni kufuta vyama vinavyounga mkono vyama vingine maana yake ACT ndo itakufa na chadema ndo itabaki.

Na kama kuifuta chama kinachoungwa mkono na vyama vingine wakiikusudia chadema basi na CCM pia itabidi waifute kwa sababu nacho kinaungwa mkono na vyama vingine.

Kwa hiyo hakuna plan hizo
 
Hivi karibuni Ofisi ya Msajili wa vyama ilivitetea vyama vya TLP na UDP kuwa baada ya kuonywa vilisitisha mpango wao wa kumuunga mkono mgombea wa CCM kwa vile ni vyama sikivu.

"Kwa hiyo vyama hivyo ni sikivu, vile ambavyo siyo sikivu (Chadema na ACT) tutavichukulia hatua.” alisema Sisty Nyahoza.

Leo John Cheyo kasisitiza bado wanamuunga mkono mgombea wa CCM. Msajili atatuambia nini, naona lengo lao la kutoa karipio kwa CHADEMA na ACT limebuma.

View attachment 1597451
Watabsdili gia angani na kusema hamkunukuu vizuri, wao walisisitiza kuwa kama UDP wangechelewa wasingewaruhusu, nyie mkapindisha kuwa walichelewa!
 
Hili sio tishio na wala sio plan kwa sababu kama ni kufuta vyama vinavyounga mkono vyama vingine maana yake ACT ndo itakufa na chadema ndo itabaki.

Na kama kuifuta chama kinachoungwa mkono na vyama vingine wakiikusudia chadema basi na CCM pia itabidi waifute kwa sababu nacho kinaungwa mkono na vyama vingine.

Kwa hiyo hakuna plan hizo
Vipo Chadema kusema kule Zenji wanamuunga mkono Maalimu Seifu?
 
Msajili au msanii.
Majitu mengine yanatumia ubongo ulojaa kinyesi
Hivi karibuni Ofisi ya Msajili wa vyama ilivitetea vyama vya TLP na UDP kuwa baada ya kuonywa vilisitisha mpango wao wa kumuunga mkono mgombea wa CCM kwa vile ni vyama sikivu.

"Kwa hiyo vyama hivyo ni sikivu, vile ambavyo siyo sikivu (Chadema na ACT) tutavichukulia hatua.” alisema Sisty Nyahoza.

Leo John Cheyo kasisitiza bado wanamuunga mkono mgombea wa CCM. Msajili atatuambia nini, naona lengo lao la kutoa karipio kwa CHADEMA na ACT limebuma.

View attachment 1597451
 
Unaweza kukuta ni mchezo unachezwa na msajili na hicho chama, kisha usikie wanasimamisha vyama vyote vinavyounga wagombea wa vyama vingine kushiriki uchaguzi.

Kumbuka hicho chama cha Cheyo hakiwezi kupata kiti chochote kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais kwenye uchaguzi huu. Rejea kuwa sasa hivi cdm wakipeleka malalamiko yao tume ya maadili hayapokelewi.
Hili nalo neno
 
Unaweza kukuta ni mchezo unachezwa na msajili na hicho chama, kisha usikie wanasimamisha vyama vyote vinavyounga wagombea wa vyama vingine kushiriki uchaguzi.

Kumbuka hicho chama cha Cheyo hakiwezi kupata kiti chochote kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais kwenye uchaguzi huu. Rejea kuwa sasa hivi cdm wakipeleka malalamiko yao tume ya maadili hayapokelewi.
tindo una akili kama siafu. Huu utakuwa ni mtego atiii. Sasa wameula wa chuya.
 
Watabsdili gia angani na kusema hamkunukuu vizuri, wao walisisitiza kuwa kama UDP wangechelewa wasingewaruhusu, nyie mkapindisha kuwa walichelewa!
Chakuelewa hapa nikuwa ccm wenyewe maji ya shingo ndio maaana wanatapatapa huku wakijaribu kila njia ya kujinusuru,iwe halali au haramu,wao wanaangalia jinsi ya kujinusuru na zahama ya kimbunga Cha kokoto kutoka kwa hasimu wao waliomtengeneza kwa mikono yao wenyewe.
 
Back
Top Bottom