UDSM faculty of Law imeoozaa St Agustine Chatoa wanasheri Bora TZ.


umempa sure
 
mtoa mada ni student wa saut bila shaka........as maneno yake yanaonyesha...........akiendelea na mawazo mgando kama haya atasema medicine ya udom ipo juu kuliko muhimbili
 
Nimesoma reply zote nimegundua kitu kimoja ambao hawasomi au hawajasoma UD wanakitetea chuo kwa nguvu vile vile kwa wale hawajasoma au hawasomi UD wanajarb kukiponda UD kwa nguvu zao zote ilimradi tu UD isionekane bora...lakin ukifikia kucompare law ya SAUT na UD manake
umeifanya UD kama reference point...wewe mtoa mada kwa nini usiitetee law ya SAUT au ya TUMAINI bila kuicompare na ya UD?....huu ubish hauna mashiko hata kidogo na mtoa mada nakupa point of information faculty ya law ndo faculty ya kwanza na kongwe UD...ilianzishwa pamoja na chuo baada ya UD kuwa chuo independent kutoka kwa makerere
 
Kafaculty ka SAUT hakana miaka mitatu unakuja hapa kulinganisha na faculty yenye zaidi ya miaka 50 wewe ni kilaza kweli maana ni sawa na kumlinganisha mtoto anayetambaa na mtu wa miaka 30 kwenye mbio.
 
Wewe na division lakoo three 2lia hapo hapo SAUT.. UD pale ktk facult of law ni wa2 waliopiga one zao kaka !! .. Usifananishe na saut . Bola ungesema hata mzumbe kidogo

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
What about competent lecturers mkuu Janja PORI? Isije ikawa mnafanya mafunzo kwa vitendo huku walimu wenu wote ni ma-tutorial assistants na assistant lecturers huku seniors wakumulika na tochi wa part-time? Sijasoma chuo chochote kati ya hivi lakini itaniwia vigumu sana kuviamini vyuo vya private ambavyo hakuna ku-disco.
 

??!! I'm confused there :/
 

ohhhhhhhhhhhhhoo Kumbe chuo kudisco na GPA mbuzi ndo chuo panuka ndugu
 
chuo cha mapadri kutoa wanasheria wazuri,ukitaajabu ya musa utaona...................................
 
Hata kwenye interview ya mwakajuzi ya polisi watu waliosoma udsm law walibwagwa wengi sana hadi hadi nilishangaa sana
 

Nawasiwasi wewe ni moja ya waLoFUKUZWA CHUO UDSM 3rd yr LL.B ..Cuz ya siasa...unakijua sana kitivo,mtu baki asingeza andika hivi..i hav ths filing!

Sasa,wewe sanda mtaani ad umalze soli ya kia2,mliman tena huna nafasi,siasa peleka mtaani!
 
nawasi wasi na uwezo wa kufikiri....kwani kudisco ndo kipimo cha elimu bora??? sijui huu mtindio wa mawazo utaisha lini!!! walimu wali serious na kazi zao mtu kufeli ni janga sasa wewe watu wana disco unaona mnafundishwa vizuri....kaka amka kushakucha!!!!!!
 
umeshindwa kupata admission ya sheria udsm kwa sababu ya three yako mbovu ya kumi na saba halafu unasema udsm ni kilaza wote wanaochaguliwa saut wamepata four za kumi na nane udsm sheria wanachukua one tu.halafu saut sio chuo ni college tu usifananishe na udsm degree ya sheria ya saut ni sawa na certificate ya udsm tambua hilo umeipata
 
Saut ulinganishe na ud? Saut bado sana! Saut ni kichaka cha vilaza tz, mi GPA mikubwa hamna lolote,kuna lisenge limoja tunapiga nalo kazi hapa gpa yake 4.6 kazi ovyo! Kuna mpango wa kulitimua,vyuo vingine bana...hah!
 
nyie watu wa UDSM na SAUT mnaoshindana kwa hoja za kashfa kwa mwendo huu taifa hatuwezi lijenga hata kidogo,because it'll come a day when you graduate,get a job and even become a leader hivi kwa hali hii wewe mtu wa UDSM utaweza kumpa ajira mtu wa SAUT hata kama anaweza?au hata wewe wa SAUT unaweza kumpa mtu wa UDSM vilevile?...I don't want to be biased here,..kumbuka what makes a student better at what he/she does particulary in education is acquisition of knowledge in a very systematic manner(receiving what is correct at the right time and just receiving anything even if its good at anytime)and the second is that knowlegde transfer diserve mutualism(student activeness)thus kwamba hata atakapotoka hapo awe competent and able to synthesise the problems by his own free independent mind instead of using other peoples' heads which is not bad at all but overreliance of books without further digestion and daily meditation makes your head heavy in thinking(bookish)na hili ndilo WATANZANIA WENGI linatukuta we simply can't formulate our policies according to the context...mfano Mzuri tuna majaji wengi ambao wanaijua sheria wameikariri saaana na hata wengine wana Masters,phd ila unajiuliza kwanini wanashindwa kutafsiri vizuri sheria hata bungeni?simply they can't change according to context(bookish)...Sasa mimi niwashangae nyie viongozi wa baadae mnabishana ni nani yuko very bookish kuliko mwenzie!NO.usisifie ujinga just to sound patriotic.kumbuka teach your student make him understand why he is supposed to do what he does at a right place and not to do it at a wrong place,...don't train a student like a pet just relying on orders.Sheria siyo kukariri tu!but trying to preserve the human values by passed regulations(wether fair or unfair).UDSM+SAUT+TUMAIN..etc be damned what matters is how great you are in trying to be a human right watch with total devotion and commitment.
 



Bwana mdogo hujui unachokiongea ndiyo maana unakurupuka tu,kwahiyo vyuo vya serikali wanafunzi wanapodiso ni kwamba wahadhiri hawapo makini? Hebu fumbua macho dogo vyuo vya private kwao ni hela kwanza hilo la quality ya elimu halipewi nafasi na hiyo ndiyo maana yangu. Sasa wewe from nowhere unakurupuka tu kama umefumaniwa,wewe ndiyo utumie kichwa kufikiri badala ya kufuga nywele tu! By the way,kama na wewe ni among the private universities products niwie radhi lakini ukweli ndiyo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…